Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nafurahi kuwatangazia kuwa Baloon Cresta, 4 Cylinder iko katika hali nzuri, inatumika kuendea ofisini na kurudi. Inatumiwa na my wife kwa matumizi ya nyumbani tu. Matairi yote ni mapya. Bei...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakubwa, natafuta sliding windows za ama aluminium au UPVC. Mwenye nazo ani-pm, au nitumie email kwenye mutensa@live.co.uk, nifahamishe 1. Bei kwa square metre 2. Kama una variable colour za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dear Colleagues, You are cordially invited to participate in the inaugural convention of the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA) to be held in Houston, Texas, USA from October 1st...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Friends.... Incase any body wants to let an office space at Dar city centre...i have an office space ideal for office or related business....location is along Sophia Kawawa street near Nkrumah...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lori la Mizigo Lapinduka Tanga, 3 Wafariki, 7 Wajeruhiwa Thursday, September 24, 2009 10:21 AM WATU watatu wamekufa papo hapo na wengine saba kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mizigo walilokuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba linauzwa, lina ukubwa wa ekari moja. lipo katika kijiji cha kinzudi, unapita tegeta salasala. linafikika kwa bara bara, umeme upo jirani (unahitaji nguzo moja tu). ni muwafaka kwa ujenzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba nichukue fursa hii kuomba msaada kufahamishwa kuhusu ushuru wa kutoa gari bandarini. Je kuna unafuu wowote wa kodi kwa mwanafunzi wa kitanzania aliyekuwa masomoni ng'ambo anapotaka kuingiza...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Gari linauzwa Toyota Corsa ya mwaka 1998 bei ni 6.5m. Rangi ni Gold Metalic
0 Reactions
5 Replies
2K Views
SORRY! PRODUCTS SOLD OUT!!!! YOU CAN PLACE YOUR ORDER IN ADVANCE FOR THE NEXT DELIVERY !! PLEASE ALLOW TWO TO THREE WEEKS FOR THE COMMING DELIVERY.!! FOR ALL YOUR ENQUIRIES CONTACT 0713846454...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
TOYOTA HIACE 1992. bei 6.9m open to bargain. Engine 2L diesel. Imesajiliwa Dar na ina route Number. Ipo kwenye hali nzuri sana-ex school min-bus. BEI ni 6,900,000 Inapungua kidogo. Piga simu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ndugu wadau, ninahitaji projector ya kkutumia kwenye chumba cha wastani-watu mia moja, matumizi angalau masaa nane kwa siku. nahitaji maelezo ya kina kuhusu aina na ubora wa projector...pia bei...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Automatic/ Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Rear Window Wiper / A/C:front / Power Steering / Alloy Wheels / Power Door Locks / Power Mirrors / No accidents/...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wapendwa, Nauza kiwanja. Kipo Mbezi (loius) kwa Msuguri kilometa 2.5 hivi kutoka main road. Kina slop na ni kizuri sana, maana utapata upepo mwanana ukijenga pale. Kama nusu kilometer kutoka hapo...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
MBUNGE wa Ruangwa mkoani Lindi, Sigfrid Ng’itu (CCM), amefanyiwa operesheni ya kichwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Mbunge huyo amelazwa katika Taasisi ya Mifupa ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi nitashukuru kama mtanisaidia nipate contact za kijana anaitwa Musa Mohamed ni mwanafunzi sekondari ya Gongo la Mboto form one. Nimeona picha yake Ipp Media site leo.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanajamii natafuta kitabu kimoja kizuri na detaild cha historia tulikuwa tukikisoma zamani sana mashuleni. Kitabu hicho kinaitwa a Short History of Tanzania na Kimetungwa na Mwanahistoria nguli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dear Colleagues: We are glad to inform you that www.dicotaus.org; the website for the Inaugural Convention of the Diaspora Council of Tanzanians in America [DICOTA] is now LIVE. Please accept...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za saa hizi wana JF! Najua kuna aina nyingi za rangi kiasi kwamba nikienda dukani nikaomba nipewe rangi ya nyumba (I.e. Ukutani na kwa ajili ya bati) nawezajikuta ninaishia kupata rangi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta vita na meza za ofisini za bei nafuu. Wapi naweza kupata?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Shamba la hekari mbili, lipo Chanika Sungusia karibu na DIDAS Secondari, lina nyumba ya bati ya vyumba viwili na sebure, kisima, lina mimea...matunda. Barabara ipo mpaka shambani. Bei 12milion...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…