Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Inaonekana leo [tar 19/8/2009] tIGO imechoka na mitambo yake imegoma kutoa sauti... watu hawasikilizani na sometimes simu haziiti kabisa. ni tatizo la zaidi ya masaa sita na wale watumiaji wa...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Je! unatafuta gari linalouzwa Tanzania au una gari unalohitaji kuliuza lakini haujui umuuzie nani? USIHANGAIKE, wasiliana nami kupitia hii namba. 0717114409
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Suzuki Grand Vitara for sale. 2000model, 3doors, manual transmission, petrol, 1995cc,x- Great Britain(North Island), first registered in 13/03/2009. GV 2000. Silver, km 61234, well maintained...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
automatic, 1KZ ingine, 4x4, metalic blue, 5doors, very good shape, diesel, sun-roof, side steps, front bar, fog lamps, odometer 85764, Price 20mil Negotiable 0717 114 409
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HABARI WADAU, TUNAANZA KUTOA REVIEW CLASSES KWA WANAFUNZI WANAOSOMA OPEN UNIVERSITY(UNDERGRADUATE) WENYE MAKAZI MIKOA YA KANDAYA ZIWA.TUKO LOCATED MWANZA.KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU GHARAMA NA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PRICE 7,800,000 a bit negotiatable TOYOTA HIACE 1992. ENGINE-2L DIESEL COLOUR WHITE EX-SHOOL MINI-BUS Fully registered,its original route number still valid for commuter Business. IT IS IN DAR...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Frame za biashara kubwa zinapangishwa kimara mwisho ukifika mwisho kunja kulia kama unaelekea uwanja wa tanesco...ukikaribia kwa karibu na darajani.....zimekamilika umeme unaingia wiki ijayo ziko...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Waheshimiwa wana wa nchi napenda kuwajuza kuwa sherehe za kumbu kumbu ya kuanzishwa kwa UVCCM na kutimiza miaka 31 zitafanyika tabora mwishoni mwa mwezi ujao na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa JK...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mlango mmoja unafaa kwa ofisi,cafe au duka; ukubwa wake ni futi 18 x 12,ipo karibu na barabara ya dunga (njia ya kwenda kinondoni biafra) tuwasiliane 022 2760425 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na mnada pale UNICEF vitu mbalimbali kama magari,vifaa vya computers na vya maofisini. List of vitu imeambatanishwa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
If you wish to sale or rent Townhouses, apartments,commercial plots, showrooms, offices, farms, bungalows, beach plots, warehouses, in Dar es Salaam, Please contact this no. 0717114409.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo Kitunda. Ni self contained ya vyumba vitatu kimoja wapo kikiwa masta. In sebure kubwa, dinning kubwa, jiko. Ni nyumba mpya. Inauzwa sh 50mil. Mazungumzo yapo, na pesa ruksa kulipa kwa awamu...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
CHANGE OF PRICE! habari za mchana huu wana JF, natafuta wateja wa laptops, ninazo laptops 3 mpya kabisa, 2 ni compaq na moja ni LENOVO. zifuatazo ni specification zake, 1.compaq presario cq60...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Natafuta mtaalamu wa ku-design na kutengeneza garden za nyumba. Kama una utaalamu huo nirushie contacts zako kwa PM. Pia unaweza kupost hapa kwa manufaa ya wanaJF wengine wenye kuhitaji huduma...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nilimtumia jamaa'ngu laptop kwa njia ya express lakini haikufika bongo kwa wakati unaotakiwa na nikatuma nyingine. Kwa bahati zote zimefika na jamaa ana laptop mbili. Mimi sio mfanya biashara na...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Kartika Sari Dewi Shukarno Monday, August 24, 2009 5:29 PM Adhabu ya kuchapwa bakora sita iliyokuwa ikimkabili mrembo wa vivazi wa Malaysia ambaye alikamatwa akinywa pombe hadharani imeahirishwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mshikaji anauza mac ibook g3 used.kwa yeyote anayehitaji please call 0754549631
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeamia singapore ntakuwepo hapa kwa muda, nlitaka kujua kama kuna wanajf wowote maeneo haya, thanks
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nanunua used computers za specifications zote, except p2 na bellow oc! nipe aina ulizonazo, kisha shindana bei na wauzaji wengine..nikiridhika na bei zako tunafanya biashara. tamilaggk@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wanaohitaji viwanja, kuna kiwanja/shamba la ukubwa wa hekari tatu kasoro linauzwa. Eneo hilo liko Kifuru (ukivuka segerea) ni eneo zuri kwa ajili ya shamba au makazi maana mji unapanuka...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…