NAFASI YA MASOMOKIDATO CHA KWANZA 2010
Tumeanza kuandikisha wanafunzi wanaotarajia kuingia kidato cha kwanza kwa mwaka 2010. Walengwa ni wahitimu wa darasa la saba.
Interview...
Wadau wa JF,
Kuna Toyota Pickup (Short Chasis) Hilux inauzwa.
Ipo katika hali nzuri kama unavyoiona katika picha.
Hii gari ina engine ya 12R, na ilikua inatumika kama gari ya kutembelea, so...
Je,
Bidhaa yako imekataliwa supermarket kisa haina GS1 Barcode?
Unahitaji kufanya Asset Management kwa kutumia Barcodes au RFID tags?
Una bidhaa ya chakula na haina nembo ya ubora ya TBS na...
Habari wakuu,
Kuna wa kuja mmoja amelazimika kuuza gari yake baada ya kujikuta anashindwa kurudisha marejesho ya mkopo wake bank.
Ni Mark II GR (Ni auto 4 cylinder) Gari ipo katika hali nzuri...
Kwa niaba ya familia ya Bw SAMWEL MBEZI tunashukuru kwa wote waliokuwa nasi katika kutufariji .. katika msiba wa mzee wetu marehemu MR samwel mbezi.....wakati tukisubiri mtoto wa marehemu...
Ni kampuni inayomolikiwa na Mtanzania huko Guanghou China na Inajishighulisha na kuwapokea Watanzania wanaotembelea China. Kwa wafanya biashara utapelekwa hadi kiwandani uchague mwenyewe bidhaa za...
Namshukuru Mungu, Muumba mbigu na nchi kwa wema na fadhili zake na
kwa neema na rehema zake nyingi zisizo ukomo.
Wana JF, ni miezi miwili imepita tangu nionekane ndani ya Jukwaa letu na Bunge...
Nyumba inapangishwa ipo tegeta kibaoni, ina vyumba vitatu vya kulala, master bed room, dinner, store,kwa kweli ni nyumba nzuri ipo ndani ya geti, na kuna choo cha nje, packing na sehemu ya...
Habari za Leo Wakuu,
Nina tegemea kushusha mzigo wa video surveillance systems (complete with cameras + DVR) kuanzia tarehe 20
Kuna aina tatu za systems:
Zenye uwezo wa kuunganisha camera 4...
Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi...
Familia ya Bwana SAMWEL MBEZI inasikitika kifo cha BABA yao mpendwa MR SAMWELI MBEZI kilichotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake...KIPUNGUN ....maziko yanasubiri watoto wa marehemu walio...
As Received...!
Urgent Warning to All MTN, VODACOM, TIGO AND ZAIN Users.
If you receive a phone call on your mobile from any person, saying that, s/he is a company Engineer or saying that...
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko kigamboni (kati ya km 17 - 18 baada ya kuvuka). Ni nje ya eneo lililotengwa kwa ajili ya uendelezaje wa mji wa kigamboni.
Ni eneo zuri kwa...
Hello wanaJF!
Mi ni kijana ambaye nipo nje ya nchi kimasomo na muda sio mrefu nitarejea nchini kuanza maisha rasmi. Sasa nilikuwa nafiiria sana swala la kujiajiri either kwa kuanzisha biashara...
Wote Mnakaribishwa kwenye BBQ ya Nguvu itakayofanyika Montrose Harbor Beach Ndani ya Chicago siku ya Tarehe 8/8/2009. Hafla Hiyo Itafuatiwa na Dance Party ambapo DJ Dennis na DJ Nasser watawarusha...
Heshima zenu wakuu,
Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni...
As received...
Inna lillah wa inna 'ilayhi rRaji'un
Hakika sisi ni wa M'Mungu Na Kwake Ndio Marejeo.
FAMILIA YA BWANA MUSSA OMAR BALOLA NA WANAFUNZI WOTE WA NORTHBURY PRIMARY SCHOOL...