Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Natauta nakala ya kitabu WIMBO WA LAWINO (nakala ya kiswahili). Mwandishi ni OKOT P' BITEK. Naomba yeyeyote atakayeweza kunijulisha namana nitakavyo pata nakala hiyo.
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Ulazima wa Elimu ya Maingiliano (sex) Na Uhusiano (Relationship) Kwa Watoto Mashuleni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa ninatafuta sehemu wanayochora na kufuta tattoo vizuri hapa Dar Anayepafahamu naomba anielekeze.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna mdau amenitumia picha za mauwaji, haijulikani yametokea wapi but some where in Tz. Ni picha za kutisha (horror) kwa wale wenye nyoyo nyepesi. Nimesita kuzituma humu kwa kuchelea lawama...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
nauza laptop used 6 aina ya compaq evo n800c zina hali nzuri tu, nauza sh 450,000 specification zake ni pentium 4 windows xp pro speed 1.60ghz ram 256mb kwa mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana, Nachukua nafasi hii kuwataarifu msiba mkubwa uliomfika mwenzetu, Woman of substance, wa kufiwa na Baba yake mpendwa. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na...
0 Reactions
80 Replies
10K Views
Wakuu wa JF, Nasikitika kutangaza kifo cha Mama Fatuma Ndolanga aliyekua mkewe former chairman wa FAT, Al-haj Muhidin Ndolanga, kilichotokea hospitali India.Marehemu alikua anapata matibabu ya...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Kijana wa Kitanzania aliyefahamika kwa jina la Ali Ibraham, alimechomwa kisu na kupoteza maisha tarehe 27th December 2008 Marehemu anayekadiriwa kuwa na kati ya miaka 17 na 25 amekumbwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
heshima wakuu.. namtafuta terence mwakaliku,mara ya mwisho kuonana ni 5 years ago tafadhali mwenye contacts zake anisaidie tafadhali. shukrani in advance.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwenu Tanzania daima: Ni siku ya sita sasa kila nikifungua mtandao wa Tanzania Daima (Tanzania Daima - Sauti ya Watu) naona una virusi. Nimejaribu kompyuta tatu tofauti naona tatizo ni hilohilo...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wana JF, Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ingawa linatengenezwa kwa siri lakini kwa hali lilipofikia si siri tena.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Welcome to East Africans Social Network IF ITS HOT: ITS HERE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana, Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie...
0 Reactions
56 Replies
13K Views
  • Closed
Ndugu Wanajamii, kuna Mtanzania mwenzetu mmiliki wa kampuni ya "Mambo Jambo (USA) "amekamatwa Jumapili ya tarehe 18/01 na kufikishwa mahakamani Alhamis ya tarehe 22/01 .Dhamana ya Mwenzetu huyo...
0 Reactions
86 Replies
13K Views
Flash pamojaa na memory card zinauza kwa bei rahisi xmore memory card ya 1gb inauzwa kwa 25000 toshiba memory card ya 2gb inauzwaa kwa 35000 sony flash disk ya 2gb inaauzwa kwa 33000...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
napenda kuwaomba wale wote waliopita Same high school ze desert tuwasiliane wote my idea is to plan for mkutano mkubwa kwa wote waliopita hapo. no west or east home is the best +255 787...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta ratiba ya vipindi ya TBC1. Ratiba ya wiki mzima, kutoka saa 12 asubuhi mpaka saa 6 usiku. Kwa anayejua hiyo ratiba, tafadhali naomba msaada. Natanguliza Shukrani~
0 Reactions
4 Replies
17K Views
  • Closed
We've been together since 16th January 2007, it's a year now. You're one of the JF's Premium Members (supporters) and we do appreciate your presence on these forums. And on this 20th Jan, it's...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna tangazo pale chuoni kwamba wanafunzi wa UDSM watapangiwa upya accomodation zao. Mengi zaidi yako hapa: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM NOTICE TO ALL STUDENTS Following the decision to require...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom