Kwa kuwa hapa ni pa matangazo madogo madogo, basi mie natangaza kuuza vitu vifuatavyo:
1) Laptop. HP Compaq NX6110. Haifanyi kazi. Hard-disk drive controller imekufa. Hizi NX series zilikuwa na...
Tunaendelea na majaribio kwenye klhnews na muda huu nimeanza kurusha mchanganyiko wa nyimbo na baadhi ya mahojiano na matangazo niliyoyafanya huko nyuma. Wote mnakaribishwa kusikiliza. Zaidi...
Friday the 13th is considered a day of bad luck in English-, French- and Portuguese-speaking countries around the world, as well as in Austria, Germany, Estonia, Finland, The Netherlands, Belgium...
Leo nimepata aibu sana jamani. Kuna watu wanataka kwenda Tanzania kuona Simba.
nikasema easy, tuma maombi sweden mara moja. kufungua mtandao wa embasy wameweka simu hii +46 8 732 24 30/31...
If you receive a mail called' POSTCARD,' even though sent to you by
A friend, do not open it! Shut down your computer immediately.
This is the worst virus announced by CNN. It has been...
Global Positioning System (GPS), space-based radio navigation system, consisting of 24 satellites and ground support, that provides accurate, three-dimensional position, velocity, and time, 24...
CUF hawana wakati wa kurudi mezani na mtu huyu maana hata kwenye Chama chake amewekwa kama tools tu hana mamlaka ya kuthaminiwa maamuzi yake as a tools ni kwa matumizi tu.Na ikiwa mtu wenyewe...
Natafuta wachezaji kutoka afrika hasa watanzania kuja kujaribu soka hapa.
Uwezekano wa kupata timu ni mkubwa kama yeye ni mchezaji maana atajaribiwa ktk timu nyingi na za daraja tofauti...
Sasa mie expert! Lakini bado si expert sana lakini ninazo mia mbili Uwiii! mia mbili, mia mbili na upuuzi mwingine!:confused::mad::p:eek: hizi nazipenda ninazo kama mia mbili na upuuzi mwingine...
Namtafuta rafiki yangu aitwaye TANU OKONGO rafiki yangu huyo tulisoma wote katika shule ya msingi Mihayo pale Tabora mwaka 1975. toka mwaka huo tulipomaliza shule ya msingi sijamuona tena...
Fellow Forummites,
My best friends are going for a tour in Dar es Salaam. They are very interested to met with Richard Beduizenhout wa Big Brother Africa 2. Is there anyone please who has...
Habari!
Je! ungependa kubadilisha Kipato chako?
Je ungependa kuwa Majasiriamali?
Kama jibu lako ni ndio na umedhamilia tuma msg kwenye namba hii:-0787 464 424 ukiandika jina kamili utasaidiwa...
Ndugu wana JF kwa huzuni kubwa na masikitiko napenda kuwataarifu ule mwili wa mpendwa wetu
ULIMBOKA
MWAKIFUNA
aliefariki hapo wichita uko USA kwa ajali ya...
Please why are we leaving over school leavers behind. all advertisement i come across they write" job vacancy but 2 or 3 years experience.
what about those who are not experienced is it that they...
Jamani,
Nimeiiona hii kwa michuzi na nilidhani labda watanzania wenzetu walioko Kansas ambao wanamfahamu zaidi marehemu wangeiweka hapa. Kwa kweli mimi sijui sana kinachoendelea ila nitajaribu...