Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania! anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki yoyote japokuwa...
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Hello brothers n’ sisters! Aisee niko na perfumes nzuri na OG kwa wale mnaopenda uniquness and elegance. Ziko za kike na kiume zenye scents tofauti katika ujazo wa 50mils na 100mils. Perfumes...
33 Reactions
108 Replies
10K Views
Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada tutani! Naomba anayejua Bei ya shelfu za mbao Kwa ajili ya Duka la dawa tafadhali. Natanguliza Shukrani
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa wenye mikweche kama mimi wenye kuweka lita mojamoja nawashauri mtakapoona mafuta kwenye petrol station popote tafadhali weka mafuta ya kutosha maana vituo vyote tayari wameishaanza kugomea...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
TUNAUZA PIKIPIKI MPYA ZA KICHINA, AINA YA OMOTTO INA ENGINE KUBWA YA 150 CC, INA SELF START, KITI KIREFU CHA KUKAA WATU WAWILI, INABEBA MZIGO WA KILO 200. ZINAFAA KWA BODABODA NA KZAI NGUMU...
1 Reactions
33 Replies
18K Views
Tunatengeneza Mabango Ya Kila Design Na Tunakufikia Popote Pale Ulipo Waweza Tembelea Kurasa Yetu Instagram (HD_signage_mabango) Uone Kazi Zetu Ofisi Zetu Zipo Sinza Mori Karibuni Saana +255759117175
5 Reactions
14 Replies
959 Views
Habari jamani! Hivi gearbox ya Rav4 kilitime Engine 1ZZ ni bei gani? Msaada Wakubwa!
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Soma kitabu hiki kuongeza maarifa na kipato zaidi 'WEWE NI TAJIRI: UMASIKINI UNAUTAKA MWENYEWE' kutoka CALIPA - CAS Life Purpose Academy Unajali Mafanikio yako, ya Mwanao au Ndugu yako Katika...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekua nikifikilia sana juu ya biashara ya dagaa ambayo nimehisi ni biashara ambayo inalipa Kabla .ya kufanya chochote napenda kupata ushauri kutoka kwenu wakuu ukiwa mkoani Kigoma dagaa wa...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Speaker wireless Bei 60000 Area kkooo manyema Wasap&call 0623053653
0 Reactions
1 Replies
394 Views
•Engine mpya (990cc) •Gear box mpya. •full serviced. •Sport Rims. •No a/c •Location ni Dar es salaam. Gari ni yangu, haina dalali, piga 0714064637.
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Camera iko katika hali Nzuri, imetumiaka wiki mbili tu kwenye Project. Niliagiza kwa ajili ya project, now nimemaliza. Ni camera nzuri sana hasa kwa Advanced Cinematographers & Photographers...
1 Reactions
2 Replies
896 Views
Kuna jamaa aliweka tangazo kuwa anauza kiwanja maeneo ya banana sijajua ni nani kama.hajauza aje tuyajenge lakini pia nahitaji uwanja maeneo hayo hela iko mfuko wa shati
0 Reactions
2 Replies
35K Views
Chumba master kinahitajika ukonga banana, kiwe ktk mazingira mazuri na tulivu ya kuishi......0743941142
1 Reactions
1 Replies
425 Views
Friza linauzwa Used na linapiga kazi fresh Bei:355,000Tsh Piga 0673206639 Friza lipo mwananyamala
2 Reactions
16 Replies
908 Views
Simu hiyo wazee haina kasoro wala mkwaruzo Ina GB 64 3--6GB RAM 720×1600 pixels 13 MP (1440p) Betri 6000mAh, inakaa na chaji muda mrefu mno 6.52
3 Reactions
14 Replies
2K Views
We design awesome websites or any project that runs via browsers, these projects includes information management systems for small to large businesses (Depending on your instructions). But also...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Niaje wadau, nahitaji internet service providers kwa ajili ya shughuli za kiofisi. Ni kampuni gani iko vizuri na huduma zake ni nafuu! cc Chief-Mkwawa Extrovert kelphin kepph Behaviourist Asanteni.
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom