Samsung Washing Machine inauzwa ikiwa kwenye excellent condition kabisa.
Ilinunuliwa mwaka jana mwanzoni na haina tatizo lolote.
Bei ni 700k ila mazungumzo kidogo yanawezekana.
Kama uko...
_KINAHITAJIKA CHUMBA CHA 50,000/= MAENEO YA TABATA.!!
*Hello Madalali na Members wa Group hili.
Kinahitajika Chumba Cha Tsh 50,000/=
Maeneo ya Tabata , Usafiri uwe Gari moja kuelekea Airport...
AFRICAN BIRD EYES CHILLI (ABE CHILLI) ni zao linalolimwa hapa nchini Tanzania kupitia kampuni ya VEGRAB ORGANIC FARMING LTD, na kampuni zingine.
VEGRAB ORGANIC FARMING LTD, reg.132632...
Habari nimehamishwa KIKAZI kutoka mkoa wa singida kwenda mwanza , na ninauhitaj kuhama na vitu vyangu vyote kama meza ,vitanda ,sofa , TV ,friji NK ,
Naomba kujua Kwa wenyeji wa singida Mjini...
Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa.
Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika.
Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba...
ELECTRICAL FENCE SPECIAL OFFER (19,000/= per meter)
fungiwa electrical fence kwa 19,000/= kwa mita moja, gharama iyo inajumuisha vifaa vyote vinavyotumika na ufundi, bei iyo ni kwa eneo la...
Asilimia kubwa ya nyumba zinazojengwa Sasa hivi zinapambwa kwa bidhaa za gypsum kwa namna mbalimbali, kwa wauzaji wa vifaa vya ujenzi(wenye hardware) karibuni kupata bidhaa za mikanda, Kona, Maua...
Ni fundi urembo wa
urembo wa Dirisha
Urembo wa nguzo
Urembo wa fensi
Urembo wa kona au pembe za nyumba! Pamoja na urembo wa fensi
Nipo Temeke DSM na popote Tz nakufikia
Simu : 0789005562
Wasap...
Baiskel nzuri kal inauzwa bein saw na bure. Ina gear 6. break . Kiti kipya cha kukalia. Kiti imala cha kubebea mizigo. Haina kiungo chochote wal kuchuka rang.
Pia nabadilishan na sport bike hata...
chumba na seble ni vzuri sana
gypsum board na tiles
rangi mpya
choo kizuri
madirisha mawil mawili seblen na chumbani
kina kodi ya miezi minne,alioko ndani ameamishwa kikazi anahama
unatembe dk 4...
Dalali anatoa huduma ya kuunganisha huduma zinazohusiana na ardhi na majengo kati ya makundi yafuatayo;-
✓ Wapangaji na wenye nyumba.
✓ Wauzaji na wanunuzi.
✓ Watoa mikopo na wapokeaji mikopo...
Kila eneo kwenye maisha hutegemea sana kitu hiki ili uweze kujenga mafanikio makubwa sana na ya kudumu.
Kitu chenyewe ni mtazamo wako. Huu ndio msingi wa kujenga mafanikio makubwa kupitia...
Nauza Tv yangu aina ya Sony inchi 32 ila inaonesha black and white. Fundi aliniambia mpaka nibadilishe kioo kwahiyo atakaejunua atatakiwa abadilishe kioo. Bei nauza ni 100,000. Kwa mawasiliani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.