Wanabodi kama kuna mtu anauza king'amuzi Cha Azam anitafute nahitaji ving'amuzi sita na Azamu wenyewe wanataka ninunue na dish wakati shida yangu sio dish. 0715200767
Kama una benchi zuri la mbao (lisiwe la chuma na lisiwe na sehemu ya kuegemea) linalotosha kukaa mpaka watu wanne njoo PM tufanye biashara.
Kama wewe ni fundi seremala na unaweza kuniahidi...
NEW UPDATES:
TAWA WATER PROFFESIONAL
Ghalama za kuchimba kisima na Underground Water Survey.
Dar Es salaam: kuchimba ni Tshs 80000 kwa mita moja unawekewa bomba na pampu
Dar Es salaam Survey...
Habari zenu
Nauza friji hii iliyotumika almost miaka 9 hv
Sifa zake:
1. Rangi nyeupe, ila vema ukiirudidhia rangi
2. Ni kubwa
3. Aina ya Bosch
4. Inafanyakazi japo ufanisi umepungua kiutendaji
5...
Kwa ambaye atahitaji huduma yoyote hapo basi Usisite kunipigia , Huduma zoote hapo zinapatikana hivyo kwa atakae kua Tayari napatikana Masaa yote yale kikubwa ni kua Sereous , WELCOME CUSTOMER...
Kwa Wakazi wa Dar es Salaam; Hii si ya kukosa.
Fanya Booking ya Huduma ya Usafi au Urembo ukiwa Nyumbani kwako ama popote ulipo, na sisi tutakufuata hapo ulipo.
Popote ulipo, nasi Tupo. Hakuna...
Habari wadau, nataka kumnunulia mtu simu janja, mwenye uzoefu wa simu janja nzuri kuanzia uwezo mzuri wa camera, ukubw RAM/ROM, na kukaa na chaji naomba anishauri simu ipi naweza kununua!
Isiwe...
Chagua namba ya perfume itakayokupendeza upate kwa gharama nafuuu kabisa.
1. Mousuf Perfume.Ni Perfume nzuri hasa kwa wanaume ina harufu iliyokolea lakini haikeri utapata kwa 32,000 tsh tu.
2...
Isecure Technology ni kampuni inayojishughulisha na kufunga mifumo mbali mbali ya ulinzi maofisini na majumbani. Hii mifumo ni kama CCTV camera, Electric fence, Bio-metric time attendance and...
Tunahitaji kutoa msaada kituo Cha watoto yatima ndani ya jiji la dar es salaam..mwenye kujua kituo kilichopo ndani ya dar es saalam na sio mbali na mjini au kisiwe mikoani yaan rahisi kufikika...
Habari wana Jamvi,
Mimi ni mmiliki wa kiwanja chenye boma ambalo halijaisha, kiwanja kipo Buhongwa centre na kimepimwa, kina ukubwa wa 40 kwa 30.
Bei mil.6.5
N.B Hakina dalali.
0687259290
Habari zenu poleni na mihangaiko ya kila siku niende moja kwa moja kwenye Lengo nauza hiyo mashine ya kuoshea magari
☆Sifa zake:
》Inatumia umeme tu
》Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
》Pump yake...
Mic akg1000s kwa 230000 soundcard ya behringer um2 kwa 230000, mic stand kwa inayosimama sakafuni kwa 40000, ya mezani kwa 30000, pop filter 20000 na waya zake.
Au kamata vyote kwa 500000...
Habari wakuu, kwa wanaohitaji Mnara wa radio au simu.
Nauza mnara napatikana Mbezi, Kimara Suca. Dar es Salaam.
Mnara una kila kitu chake. Machine zote.
0783985530
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.