Mwenye decoder ya azam nimpe ya dstv plus hela kidogo tubadilishane tafadhali anahitajika.
Sababu ya kubadilisha nina ving’amuzi viwili vya dstv kimoja situmii kabisa.
0769966734
[emoji3591]Wadau habari za jioni
Eneo linauzwa Dodoma mjini...maeneo ya kikuyu South extension.
[emoji3591]Eneo lina square mitre 373
[emoji3591]Lipo karibu kabisa na station ya treni ya mwendo...
Habari za wakati huu;
Kama wewe ni mfuatiliaji wa makala zetu basi utafahamu kwamba tumekuwa tukijitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kushea baadhi ya maarifa na taarifa ambazo tunazo kwa ajili ya...
Habari za wakati huu wajasiriapesa wenzetu;
Kwanza kabisa niwashukuru sana wale ambao hunitafuta na kutumia huduma zangu za ushauri na uelekezi ni niwaambie kwamba wanachangia katika kunipa elimu...
Habari za wakati huu.Kama kawaida yangu huwa napenda kuleta mada na mijadala mbalimbali inayohusu biashara na ujasiriamali.Mijadala hii inalenga zaidi kupeana mbinu,ujuzi na uzoefu ambao...
Tunauza spare za magari aina zote, toyota, nissan, mazda, subaru, coaster, hiace,fusso, canter, tata, eicher, nk.
Tupo Tanga mjini na mikoani tunatuma.
Jumla na rejareja.
Pia tuna battery zenye...
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ni kuwa tunanunua zaga za aina zote hizo hapo juu.
Tupo Dar es salaam ila kama mzigo ni mkubwa hata mkoani tunafika na kufanya biashara...
Habari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Huawei Y7 Prime
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 4,000 MAh.
Bado mpya kabisa
Bei yake ni 290k (laki 2 na 90) pamoja na Charger yake
Kama...
Kama kichwa kinavyosema.
Location popote tz ila miji midogo inayokuwa.
Nafikiria kupachika Car Wash.
Eneo lisiwe mbali sana na centre (yani sio lazima upande gari/boda kutokana na umbali...
Habari wadau,
Nauza printer ambayo ni photocopier pia,
Model Canon IR 2425,
Ina print, copy na Scan.
Ina uwezo wa kuunganishwa kwa Network,
Bei ni 2 million kamili.
Ipo Dar es salaam...
NI LAPTOP MPYA KABISA
SIFA ZAKE:
1. INA WEB CAMERA
2.INA NOTISI ZA MASOMO YOTE KUANZIA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA NNE
3.INA KATUNI, GAMES PAMOJA NA MICHEZO MBALIMBALI YA WATOTO.
4. INATUMIA...
Jipatie begi kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwemo kuweka laptop,nguo na vitu vingine
Condition: new
Colour: black
Brand:Duslang
Price:100,000/=
Tunafanya delivery popote
Contacts:0764108259
Kiwanja kinauzwa goba tegeta A
Mtaa kazimoto street.
Sqm 360
Price 9.5m
Huduma zote za msingi zipo ikiwemo maji na umeme.
Gari mpaka kiwanjani.
Call: 0767507487
Habari wakuu.
Iwe maeneo ya kati kati ya jiji au jirani na City Center. Lengo ni tunatoka mkoani kuja kurekodi kipindi cha afya ya ngozi.
Piga 0713039875
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.