Je?, Wewe Ni Mfanyabiashara Au Mjasiriamali unaemiliki Kampuni Yako Binafsi Isiyokuwa Na Website Wala Email za jina la biashara yako??
Je?, Unatamani Kuwa Na Website Na Email Zenye Brand Ya Jina...
Mahali - Bunju A
Kodi - Tshs 200,000
Maelezo Zaidi - 0742141467
Chumba masta, Sebule, Jiko.
Umeme luku yake, Maji ya dawasa, Fensi, Parking, Karibu Na kituo cha daladala.
UTANGULIZI
Masaaki Imai Mkufunzi wa kijapan wa mifumo ya ubora maarufu kama “kaizen” aliwahi kusema “siku moja isipite bila kuhakikisha kuna mahali umeboresha katika kazi/ chombo chako na...
Nina shida ya gari.
Budget yangu 6M.
Gari iwe kati ya Vits new model(engine 1N) namba D,Spacio new model hata namba C,Ist hata namba C,Raum hata namba C.
Iwe kati hali nzuri,Isiwe na kipengele...
Tunauza mashine za press kwa ajili ya bush za magari. Tuna stock ya kutosha. Karibu.
Piga simu 0713276892
0786786520
Karibu kwa Hussein, brb ya 20, Tanga.
Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule, Choo cha public ndani Na Jiko.
Kodi kwa Mwezi ni Tshs 250,000
Mahali goba, kwa awadhi
Umeme Submita yake, maji Dawasa, fensi geti, parking ipo.
Maelezo...
Habari wana JF
Nauza nyumba yangu kwa 22mil kwenye eneo lenye ukubwa wa sq 500 imepauliwa na bati la msauzi mgongo mpana ila sijaendelea na chochote baada ya hapo... Ila ni nyumba ya vyumba 3 vya...
Grab this unbeatable offer: 199,000/=
HP Laptop for sale
Specs
Model HP 6550b
Ram 4GB
Intel i5
Battery (charge) depletion time 45"- 1hr
❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam)...
TYPE :German Shepherd
GENDER : FEMALE
AGE : 6 MONTHS
LOCATION : DAR ES SALAAM
PRICE : 600K
Very active with shining coats.
Interested, please inbox or whatsap 0718239997 kwa maelezo zaidi
Sent...
Habarii!
Ninatafuta fremu ya biashara ya duka la dawa muhimu (DLDM). Kati ya moja ya maeneo haya mwanza, dar es salaam, na nzega.
Kwa anaeweza fanikiiwa tuwasiliane PM inbox
Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni...
Natumain wote ni wazima mnaendeleea na kupambana kutengeneza uchumi wenu na wa Taifa letu.
Nahitaji marine board na mirunda vilivyotumika Dodoma au singida kama unauza au unajua anayeuza na...
Habariniwakuu na pia napenda kuwapa pole na majukumu ya ya Kila siku
husika na mada tajwa happy juu kuwa nyumba inauzwa 10ml. Ipo pugu kimyamwezi umeme upo pia Hadi bomba la maji lipo Kwa...
Mashine ya kusaga onauzwa
mashine bado ipo kwenye hali nzuru kabisa , ina mwezi mmoja tangu itoke dukani
aina ya mashine ni YD , HP 20 , pia inatumika kuchania mbao au kumwagilia
mashine ipo...
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji.
Mche mmoja ni elfu...
Biashara ya utoaji wa huduma za mikopo kwa ajili ya ukarabati na maboresho ya nyumba ni moja ya njia za kujenga utajiri kupitia uwekezaji huu.
Hii sio njia ya moja kwa moja ya kuwekeza kwenye...
Habari wakuu
Nauza hii scan tool kwa ajil ya kupimia matatizo kwenye gari
Inasoma faults code mbalimbali
Inafuta faults code
Wireless connection
Internet browser
Inapokea updates
Nk.
Price...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.