Mashine ya kuhesabia Hela
bei ya offer 330,000/=
Free delivery
Condition: New
Tupigie 0745146690 / 0656190449
Ofisi yetu ipo Kinondoni Studio
CHRISTMAS OFFER
Habari za siku
Hii biashara ya dagaa wa kukaangwa nilikuwa naifanya kwa kipindi flani ila nikasimama kutokana na mtu aliyekuwa tunafanyanae biashara kuacha biashara kwa sasa ndio nataka nirudi...
*DOT MACHINERY PRODUCTS*
TUNAUZA MACHINE ZA UJENZI|VIWANDANI|MAJUMBANI|KILIMO|USAFI|
CAR WASH MASHINE INAYOTUMIA DIESEL-2.5M
BOTTLE JACK KUANZIA 100,000/= - 300,000/=
MASHINE YA KUPUKUCHULIA...
Plots nzuri kabisa Mbezi mwisho (1.5Km ) Kutoka KITUO kikuuu Cha mabasi Cha Magufuli (Magufuli bus Stand).
Karibu tujenge taifa pamoja.
Mawasiliano +255784355775 - Mr MBUNGI.
Karibu @fixup.tz kwa huduma bora za[emoji116]
ALUMINIUM WINDOW &DOOR
PVC WINDOW & DOOR
BALCONY
OFFECE PARTITION
Nyumbani au ofisini kwako kuanzia design, ukataji, kufunga, n.k.
Wasiliana...
Marafiki zako ndio ndugu zako.
Huwezi kuinuka maishani peke yako tu bila network na connection za jamaa zako.
Lakini hao hao marafiki wanaweza kuwa adui wa maendeleo yako.
Wakawa maadui zako...
Week hii natoa ofa ya incubator ya mayai 56 kwa wafugaji 10 wadogo.kwa Bei ya 300,000/=Tsh.
✓Inatumia umeme/betri la gari na solar .
✓Inajiendesha yenyewe.
✓ Inauwezo wa kuangua zaidi ya 97%...
Wakuu ni duka gani kwa Dar es Salaam wanauza genuine (made in Europe if possible) wiring materials na vikorombwezo vyake kama vile soketi, swichi n.k. Niko kwenye hatua ya kufanya wiring kwenye...
Habari ndugu natafuta duka maeneo ya Dar ambapo Naweza nunua socket na switch Za Schneider.
1 gang 2way,2gang 2 way,3gang 2 way,and 13A socket with lamp,double 13A socket.45A switch.
Namba zangu...
Hiki ni kiwanja cha kujenga Hostel za wanafunzi kinauzwa.
UKUBWA
1. UREFU 28
2. UPANA 25
Kiwanja kipo Mwanza maeneo ya kisesa karibu sana na Chuo kikuu cha Mipango na Maendeleo vijijini-MWANZA...
Habari wana JF,
Nauza nyumba yangu iko Kivule kwa wamakonde kwenye kiwanja cha s.meter 500, haijaisha ila tayari ishapauliwa na mabati ya msauzi.
Kwa walio serious karibuni..22mil
Mawasiliano...
Habari zenu. Natafuta TV flat screen ya inchi 24/25/26.
1. Isiwe na tatizo lolote
2. Kioo kiwe kisafi, kisiwe na mikwaruzo wala michubuko.
3. Iwe haimjui fundi.
Kama unayo, njoo PM.
Location...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.