Nahitaji stabilizer kwa ajili ya Tv. Naombeni mawazo mafundi wananambia hata nikipata ya watts 500 kwa Tv peke yake ni sawa. Mwingine ananambia angalau iwe ya watts 1500 na kuendelea..
Nahitaji...
Bei ni sawa na bure
Aina ya gari ni SUZUKI CARRY
Usajili ni T 134 BRV
Haina deni lolote
Full documents
Gari ni ya kuwasha na kuondoka
BEI NI 5.5M
Mazungumzo yapo
Njoo na ofa yako.
Kea maelekezo...
Usumbufu wa kupika maharage, kutumia muda na nishati nyingi ya gesi/mkaa mwisho Leo. Order maharage ya Q BEANS yaliyochemshwa bila chumvi wala mafuta teyari kupikwa kwa pishi lako utakalo bei...
Habari za muda huu watafutaji wenzangu nimefungua biashara yangu naomba sapot yenu kwa wale wa maofisini naomba tenda na kwa wale wajasiriamali kama mimi naomba mniunge mkono kwa huduma zifuatazo...
Waterlife well drillers!
[emoji98]chimba kisima kwa gharama nafuu[emoji98]
Baadhi ya maeneo ya Kigamboni/Mikocheni & masaki ni 2.8 million mpaka 4million
[emoji98]utafiti wa maji...
Naitwa Aliko Musa. Ninaishi Mbeya mjini. Mimi ni mwandishi na mshauri mbobezi wa masuala ya uwekezaji kwenye ardhi na majengo.
Ninaandika makala kupitia mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO BLOG. Kupitia...
Karibuni wadau, nauza drone yangu ambayo nimenunua hivi karibuni. Bado haijasjiliwa Ni mpya ina wiki tu.
Bei 900,000tu
Mawasiliano 0716440258
Tabata Segerea.
Nyumba imeishia usawa wa lenta, Ni ya vyumba 2 kimoja self, sebule kubwa na pia ina choo cha Public inauzwa kiasi cha Mil 9.5. Ipo kwenye eneo lenye ukubwa wa 20×20. Pia shimo la karo...
Habari;
Je una ndoto ya kumiliki DUKA la mtandaoni.Kama jibu ni Ndio basi Unaweza kutimiza ndoto yako kwa mtaji mdogo tu.
Tunatoa huduma ya kutengeneza maduka ya mtandaoni kwa gharama nafuu...
Habari za weekend Wana body.
Maelezo :
Toyota passo
Cc 990
Piston 3
New tyres
Full ac
Well maintained
Haina changamoto yeyote
Price : 4.8m
MAWASILIANO: 0785 857564
Wahi chap
Habari wadau.
Ninauza pikipiki yangu mwenyewe, natumia kwa route za kwenda kazini tu.
Aina; Boxer 125.
Usajiri; CMP lakn kama mpya ubora wake.
Location; Kipawa Dar.
Hali yake; Nzuri...
Manufacturer: TOYOTA
Model: IST
Year - 2002
Engine Size: CC 1490
Mileage: 154991
Transmission: Automatic
Colour: Grey
Fuel: Petrol
PRICE / BEI: Tsh.8.8 Mil ( Milioni 8 na laki 8 )
MAWASILIANO ...
Wakubwa shikamoo!!! Kwa wale wadogo hamjambo!!!! Na wale tunaolingana mambo niaje.....
Kwanza nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi wa rehema usio na kikomo kwa kutujalia tumeamka salama...
INAUZWA NYUMBA IPO GOBA SHELI YA ENGINE KUTOKA BARABARA YA GOBA ADI KWENYE NYUMBA MITA150[emoji118]
_____
MILIONI 160 MAONGEZI [emoji118]
________×________________
&SPECIFICATION ZAKE[emoji116]&...
Asalaam alaikum,
Napenda kuwatangazia kua nina nyumba nauza kigamboni mikwambe yenye sifa zifuatazo
. Nyumba ipo kigamboni Mikwambe
. Nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami ya kigamboni
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.