Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Bei ni 200k Haina kipengele Moshi mjini call 0744883353
1 Reactions
2 Replies
513 Views
Toyota Landcruaser VX inauzwa iko katika Hali nzuri sana .Iko Arusha Mjini , Bei yake ni milioni 18 maongezi yapo ,kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa inbox ,Au comments hapa nitakujibu as soon...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu habar za muda huu, naendelea kutoa huduma kwa wale wanaotaka kupelekwa kariakoo kufahamu machimbo mbalimbali, ninauzoefu wa mda sasa wa kupeleka watu kuwaonesha machimbo. Yafuatayo baadhi ya...
5 Reactions
18 Replies
18K Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kupata ramani za nyumba na kwaujenzi makini wasiliana na doltu architects. Contacts 0654003555 0654003555
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Zipo website tatu; Kila moja inauzwa shilingi 155,000 ziko hosted kwenye wordpress cms.Unapata na emails za tano. Website ni za utalii na zina umri wa zaidi ya miaka 3. Ukinunua website hizi...
1 Reactions
0 Replies
634 Views
Kitanda futi 5 kwa futi 6 kinauzwa kipo mbagala sabasaba bei 120000 maongezi yapo. 0657623266
0 Reactions
9 Replies
975 Views
Tunauza mzani Wa kisasa wa Kupima chakula cha mifugo Pamoja na bidhaa zingine. ✓unapima kilo 0 Hadi 50 ✓unatumia betri ndogo. ✓hudumu na chaji. ✓ni imara sana . Bei 20,000/=Tsh. Simu...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Toyota klugger Cc 2360 Yr 2005 Full ac Full doc Gari inamiezi 8 toka isajiliwe Eng iko safi Bei 20M 0753285898
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Luguruni Metres 500 kutoka Main Morogoro Road Eneo ni 25 kwa 30. Kuna Fremu tano na godown kubwa la mashine ,maji na umeme Upo . Bei inaanzia 150M .....maongezi yapo kidogo. Kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Wadau nipo njia panda kidogo Hivi Samsung S20 Ultra 128GB dual sim mpya inapatikana madukan kwa sasa hapa DSM na bei yake ipoje maana madealers wengi wakkoo wanadai hamna mpya na wanasisitiza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi jamani bei ya zile pikipiki baja zikiwa mpya ni bei gn msaada plz
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari ya asbuhi wakuu. Ninahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni kuanzia Mji mwema kuja uelekeo wa Maweni, hadi kwa Mwingira. Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo: 1. Vyumba viwili vya...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiini cha njano,kuku wanapewa majani kila siku, hatutumii carophyl yellow kuongeza unjano Bei ya elfu 6800(kuanzia trei 10) Oysterbay karibu na ccbrt 0738832076 Bei inapanda na kushuka,kwa hiyo...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni...
8 Reactions
138 Replies
61K Views
Husika na kichwa cha habari., Mimi ndugu yenu nina matatizo ambayo hayahusiani na hospital (siumwi) ila ni masuala binafsi ya biashara zangu hivyo naomba anayejua mganga anayeweza kuninyooshea...
7 Reactions
132 Replies
38K Views
Karibu kwa anaefahamu.
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Memory gb32 Ram 4 Condition NEW kwenye box lake Zipo nyingi Karibuni Mikoan tunatuma kwa gharama zako Namba zipo hapo
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Viwanja vipo goba tegeta A, karibu na kwa madawa. Ukubwa ni 20/22m na kingine ni 30/20 vyote ni sh 13m lakini maongezi pia yapo. Barabara inafika mpaka hapo, ujirani ni mzuri na mahitaji yote...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom