Kazi zake;
Copying (black),
Printing (black),
Scanning (Color, grayscale, black & white),
Kwa ukubwa wa A3, A4, A5 n.k.
Inafanya kazi zote tajwa hapo juu.
Wino wake ni cheap na unapatikana sana...
thawabu motorcycle spare part ni wasambazaji spare za pikipiki aina zote za kampuni ya SLL PART kwa wale wote walio karibu na maeneo ya tegeta na viunga vyake na mikoa yajilani kama vile...
Hello Hello Dodoma
Hii hapa nawaletea kwenu.
FREMU Chumba cha biashara kizuri sanaaa.
Kipo Dodoma mjin katkat
Kina milango pande mbili
Panafaa kwa Ofis ama aina yeyote ya Biashara
Mfano.
_nguo...
Habarini wanajamvi
Ninaitaji eneo lililowazi na kubwa la kukodi Jijini DODOMA preferably maeneo ya Uzunguni (kuanzia maeneo ya NHIF mpaka Dodoma Hotel)
Liwe na sifa zifuatazo:-
1. Lifikike kwa...
Habari za wakati huu,
Miaka zaidi kadhaa iliyopita nilihitimu masomo yangu ya sekondari.Baada ya kuhitimu nilirudi nyumbani na tukakutana marafiki kadhaa ambao wote tulikuwa tumehitimu tukisubiri...
Habari zenu wanajf,,nakuja jukwaani kama kijana mjasiriamali anaechipukia,,nimekuja na biashara ya vitu vya mtumba kama vile SIMU,,,COMPUTERS,,,PLAYSTATIONS GAMES na vifaa vyake kama...
Hati ya kiwanja ipo
Huduma muhimu za kijamii zipo; maji ya Dawasco, umeme, huduma za afya, maduka, shule havipo mbali.
Eneo ni tambarare halituami maji kipindi cha mvua
Eneo hili linafaa...
Habari za wakati huu wakurugenzi;
Kwa wale ambao wako na Pesa lakini wanatafuta pa kuziwekeza.Unahitajika Mkopo wa Kibiashara.Kiasi cha mkopo unaohitajika ni Milioni 60.
Dhamana ya Mkopo ni kama...
Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm.
Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami.
Vimepimwa na kina hati.
Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni )
Wasiliana nasi - 0742141467
Nauza mzani wa digital aina ya camry unauwezo wa kupima kg 40. Unaonesha bei na uzito kwenye screen. Bei ni tzs 95,000 tu (dukani bei 150,000). Unatumia umeme na unatuza charge kwa mwezi 1. Piga...
Nyumba inauzwa Mbeya Mjini, nyuma ya pm hotel, karibu kabisa na stand ya nanenane, mita mia toka rami inayotoka nanenane kwenda ilomba, piga simu 0744757738
Wanazengo salaam,nimeanza mchakato wa kulinyemelea Jimbo moja huko kwetu 2025. Kama ilivyo ada,bila kuwaweka sawa Wajumbe lazima nitaangukia pua.
Hivyo,nauza haka kamjengo kangu nipate pesa ya...
NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA DSM-MADALE MWISHO $21,000 (48,000,000)
Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha
Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea...
Wana JF habari za muda huu?
Nahitaji mtaalamu wa kukata miti pembeni ya nyumba ni miashoki imekuwa mirefu sasa nataka kuikata bila kuathiri nyumba pembezoni aliye na utaalamu huo tuwasiliane...
Ndugu zangu kama uzi unavoonesha hapo juu nimeamua kutoa fursa nahitaji kreti 50 za kampuni ya pepsi na kreti 50 coca kreti ziwe na chupa ndani.
Chupa bila kreti na kreti bila chupa pia nanunua...
Do you want to start a Maize Milling Business?
Then get this 85-page guide which contains:
1. Overview
2. The Opportunity
3. The Upcountry Choice – Case Study
Disadvantages
Advantages
4. Case...
Habar zenu wadau,
Nchi zilizoendelea wapo mbali sana In all Aspect of life katika matumiz ya Teknolojia Economical, social, na political .
Sasa Naomba kujua hapa Tz/mikoan ni wapi naweza kupata...
Iphone 6s
storage gb 128
battery health 100%
Support 4G LTE
ina kreki kidogo kwenye upande wa camera ya mbele, haina madhara
bei, 320,000
mbezi kimara, Dar.
0713096076
DEADLINE: 5.3.2022
USIPIGE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.