Viwanja vipo goba tegeta A ukivuka shule ya msingi kuelekea madawa.
1. 20/22meter kipo kazimoto street. Bei ni sh 13 mio mazungumzo yapo.
2. 20/30 meter kipo kazimoto street, kina kamtelemko...
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki.
Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph.
Fika au...
Unataka kukua kiroho?
Unatamani kufika katika kambi bora kabisa la kujifunza Neno la Mungu?
Njoo jiandikishe inbox mapema sasa usikose nafasi...
Kambi la kuweka alama katika maisha yako!
Kambi la...
Natafuta gari aina ya ist kwa ajili ya biashara ya Uber,mkononi nina 4M.Nipe gari nifanyie biashara ntakulipa kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu hela inayobaki
Ongeza kipato chako kwa kununua mashine za kutengeneza ice cream au barafu za kwenye koni na ice lolly wengi wanaziita lamba lamba.
Ni biashara nzuri sana kwenye mashule,vyuo pia hata mtaani...
Gari inauzwa Toyota Premio
Engine kubwa
Ina upungufu wa Real Lights, side mirrors, powerwindows baada ya wez kufanya yao.
Gari iko Dar Es Salaam
For serious buyers:
Check with 0782676842.
Habari zenu ndugu zangu JF leo tuangalie umuhimu wa flush cistern tank na matumizi yake na namna ya kufunga na ubora wake
Flush cistern tank ni kifaa maalum kwa ajili kuifadhi maji ya kusafisha...
Kwa mwenye huitaji Tunauza Mizinga na Makundi ya Nyuki kuanzia April 18. Tutakuwepo kwenye Viwanja vya 88 Morogoro Karibu tukuhudumie Toa order yako mapema!
Habari wana jukwaa.
Natumaini muwazima wa afya na mnaendelea kutekeleza majukumu yenu. Ningependa kuwashirikisha machache kuhusu kampuni yetu Watanzania ya TTCL
Kwanza nianze na huduma...
Hello, wakuu nafikiria kuangiza vipodozi kutoka nje ya nchi na kuviuza nchini kama retail na whole sale.
Naomba mwenye kufahamu hata connection ya online ya wasambazaji wa vipodozi kutoka nje ya...
Habari za wakati huu,
Mwaka 2003 nilibahatika kuhudhuria mnada wa mtu aliyeshindwa kulipa DENI. Mnada huu ulifanyika huku familia ikiwa ndani ya nyumba kwa mkopo ambao BABA alichukua kwa ajili ya...
FORTUNATE GROUP LIMITED
Ni wataalamu tuliobobea kwenye kujenga nyumba za aina zote za Kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama Nafuu
Tunatoa huduma zifuatazo;
TUNAJENGA NYUMBA ZA KISASA...
LG LED Smart Tv 42"(FULL HD)
Used from uk
2 hdmi port
av port
3 flash port
3D
Ethernet
Wireless LAN
WI-DI Technology
Digital Tuner DVB-T (MPEG4)
SATELITE RECEIVER
Ukiwa na Dish tu no decoder ya...
Biashara ya chips inauzwa ipo Yombo kituo chama, sehemu ya biashara ipo barabaran kabisa, kuna kila kitu kinachohitajika kwny biashara ya chips , na kod bado ipo miezi 4 ukifika ww nikuanza kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.