Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha
Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5
10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
1.Nahitaji kujua ni wapi naweza pata duka la dawa (pharmacy) maeneo ya kariakoo lenye dawa za kila aina,,maana kuna dawa nimeandikiwa na daktari nimezunguka maeneo ya Kinondoni+Mwananyamala bila...
Habari yenu wana JF!
Nina vitabu vipatavyo 1570 vya softcopy na cover zake so kama upo na upenzi wa kusoma inspirational books au love stories au adventures au family issue, au Detective stories...
naitaki destok na PC aina yoyote chapu pesa ipo mkononi.
ila iwe kuanzia Core i3 adi Core i5, RAM 2-4 na storage GB 250 adi GB 500.
njoo chap inbox whatsap no 0766302495 na normal call 0758978546
Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo.
Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata...
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma.
Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka...
Wadau Salaam,
NAUZA Boss Chest Freezer BE-200L WHT KAMA ILIOPO KWENYE PICHA HAPO CHINI. IMETUMIKA MUDA MFUPI. BEI TZS. 500,000 (Dukani kwa sasa ni 750,000).
IKO BUNJU, NIPIGIE 0754 34 36 42
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na...
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox...
Habari za wakati huu,
Najua andiko langu linaweza kuwa na utata na kwa wale wanaopenda vya bure wakafikri sasa wamepata cha bure na kwa wale ambao huamini wakiitiwa fursa basi wao ni fursa...
Nafahamu zimesalia siku chache mno mwaka huu kufikia tamati, kwahiyo hakuna uwekezaji unaweza kufanyika kwajili ya mwaka huu.
Hata hivyo hakuna kitu kizuri kama kufanya maandalizi kabla ya...
Habari wadau!
Natafuta mafundi ujenzi wa nyumba n.k,kama
wewe ni fundi ujenzi naomba nitumie SMS kwenye namba hii 0687234549,halafu mimi mwenyewe nitakupigia baadae,Asante!
Kwa wanaohitaji usafiri wa kwenda kwenye usahili wa UTUMISHI (TRA) DODOMA nakurudi DAR tafadhali wasiliana nasi mapema 0719250926 fanya BOOKING mapema nafasi zimebaki chache
Cherehani Used ipo katika Hali nzuri inauzwa laki moja na 60 (160,000/=)
Inapatikana Dar es Salaam Msongola Stand nicheki 0658566851
Aina ya Butterfly.
Sent from my Infinix X655C using...
Je umewahi kusikia mtu anaitwa taka taka?Kama hujawahi kusikia au kukutana na mtu wa aina hiyo basi leo nataka tujadili kuhusu hii tabia ya watu kuwa taka taka.Sasa ili usitetemeke maana ya...
Mahali:Dakawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma
Ukubwa wa shamba ni heka 20
Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.