Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu natafuta chenga za mchele kwa bei nafuu kilo sh500 na kwa debe ni sh 10000 na gunia lenye debe 6 ndani kwa sh 60000, uwe Gairo au Moro itapendeza, hii ni kurahisisha usafiri.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
. "NYUMBA ZINAUZWA TABATA KINYEREZI STAND MPYA" Location: Kinyerezi Mwisho Stand Mpya Area: SQM 2665 Umiliki: Sale Agreement Bei: 250 Milioni Contact: 0754 618 903/0692177791 Both Whatsapp And...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
"NYUMBA ZINAUZWA TABATA KINYEREZI STAND MPYA" Location: Kinyerezi Mwisho Stand Mpya Area: SQM 2665 Umiliki: Sale Agreement Bei: 250 Milioni Contact: 0754 618 903/0692177791 Both Whatsapp And Calls...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa naomba kuuliza jambo... mzazi wangu amepewa zawadi ya seti mpya ya masofa na fenicha nyingine kama zawadi ya kustaafu...hana pa kuiweka seti ya zamani....kuna mtu humu anaweza fahamu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja ni vikubwa 20*20 Bei kuanzia milion 1 Unapata kiwanja safi kabisaa 0715035758/0689244658 Karibu tukuhudumie Mahali viwanja vilipo kuna usafiri wa bajaji 500 tu kutoka barabara ya lami.
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Maana Ya Usimamizi Bora Wa Nyumba. Usimamizi bora ni hatua pekee za kuhakikisha kuna kipato endelevu, usalama wa uhakika, mahusiano mazuri, kutii sheria na taratibu za mtaa na nchi yako na...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Pagala linauzwa Kibaha Kwa Mathias, Nyumba ina; Vyumba 3 (kimoja master) Sebule kubwa Jiko Stoo Public toilet Umeme uko pembeni ya kiwanja Maji Yako jirani Kutoka kituoni nauli ya boda ni...
0 Reactions
1 Replies
499 Views
Habari wakuu . Budget yangu ni hiyo hapo juu 160,000/= nahitaji simu aina ya infinix hot 10 imeyonyooka.. Niko DSM, Uzi tayari
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Company: Semark Container Shop Location: Kurasini zilipo ofisi za Uhamiaji Price: 40feet range from 8 milion to 10 20feet from 5 Milion to 6 Milion Tsh. Bei zinatofautia kulingana na Ubora /grade...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Viwanja vimepimwa na mradi wa kurasimisha ardhi eneo la viwanja lipo kisongo matevez -Arusha Ukubwa wa viwanja unaanzia 20×20 na 20×27 na kuenedelea kulingana na mahitaji ya mteja .BIE YA OFA NI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haina tatizo lolote. Gari ya kuwasha na Kuondoka baada ya Malipo. Bei 4.million Net. Dalali unanipa elfu 15 tu ya Bando la Mwezi. wahisha biashara achana na comments 0713096076
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Nauza nyumba maeneo ya tua ngoma Sifa za nyumba. Inavyumba vitatu 3, kimoja master Seble/stoo na jiko Ina choo cha ndani na nje Nyumba ina fensi na huduma zote muhimu zipo kama...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Hi,there do you need a co working space for your company/office at cheapest price? We have got you covered at regus Our locations: Accacia estates office plot no.84,Kinondoni Road Kinondoni,Dar...
0 Reactions
2 Replies
646 Views
Bei hio 170,000, namba 0713096076 samsung galaxy A10 ipo ubungo external piga simu chap
0 Reactions
0 Replies
461 Views
STARLET IMENYOOKA FULL AC MIL 3 PIGA 0713096076 Dar tabata
0 Reactions
14 Replies
1K Views
SABABU ILIYOJIFICHA GARI YAKO KUTUMIA MAFUTA ZAIDI NA MATATIZO MENGINE Wasiliana na mimi +255788624499 nikusafishie Mass Air Flow (MAF) senso. Soma zaidi... Dalili za MAF sensor inahitilafu ni...
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Nauza Dell desk top Intel core 2 duo,8GB na 320HDD.Zipo zaidi ya kumi ,from a closed office in UK. Ni nzuri safe kwa mtu anaehitaji kufungua computer centre.Seriously buyer only to contact...
0 Reactions
7 Replies
702 Views
Nahitaji camera Nikon D7100, D3200, au D5300 au Nikon yoyote, Weka na bei. Asante.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili la biashara. Leo nilikua na fursa ambayo nimepanda niwashilikishe na hii ni maalumu kwa wadau wanaopenda kuongeza maarifa kupitia kusoma vitabu, kwa kutambua...
0 Reactions
7 Replies
923 Views
Back
Top Bottom