Hello Pipo!
Sisi ni GoodTronics Hardware
Tunajishughilisha Kuuza Vifaa Tajwa hapo Juu Kwa Bei ya Jumla na Rejareja
Uzi Huu Ni Maalum Kwa Ajili ya Updates za Bidhaa zetu
Karibuni Sana...
Guys nauza Laptop aina ya HP Pavilion dv6 aluminium body...
Processor AMD A6-3410
RAM- 6GB
HDD 500GB
Graphics adapter - AMD Radeon HD 6755g
Sound card- HD Audio..
Ina support program zote...
Wakuu habari za jioni,
Natafuta mtu mwenye suti kali ni kodi kwa siku moja nnatukio muhimu na uchumi wa kununua suti ya laki mbili sina kwa sasa.
Kama unayo au unamfahamu mtu anayeweza...
Habari wana JF,
Ni kitambo kidogo sijaonekana humu JF, leo nimeona nitoe ushauri kwa waandishi wa vitabu; nimepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wakitaka kujua namna ya kuuza vitabu vyao...
Job
. We are hiring a talented Sales Executive professional to join our team. If you're excited to be part of a winning team, please send your CV via haji@ bizonlineafrica.co.tz
Qualifications...
Bei ya mteja ni 400k
Iwe nikon d 3100,3200 l,3300 na zinazoendana na hizo...
Au canon
Bajet ya mteja n 400k. Kama unayo na haina shida yoyote nichek 0679028418...
Canon EOS 1100D 12.0MP Digital SLR Camera - Black (Kit w/ EF-S 18-55mm + 75-300mm f/4-5.6 III ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita...
SPECIFICATIONS
Model Number:D3200
Conditions: USED in a good condition.
IMAGE SENSOR
Effective Megapixels:24.2MP
Sensor size:357.28mm2 (23.20mm x 15.40mm)
Approximate Pixel Pitch:3.86 microns...
Baada ya vita vya pili vya dunia (1939-45), mahitaji ya majengo ya ofisi yameongezeka sana. Hii imetokana na kuongezeka kwa waajiriwa wa maofisini ukilinganisha na waajiriwa wa viwanda.
Sekta ya...
Nauza destop Aina ya dell Bei 160,000/=
Desktop Aina ya dell
Ram 2
Hard disk 320GB
CPU DUO 1.6Ghz
Hali:Imetumika
Mahali:Mkoa wa Dar es salaam
Simu no 0717265343
Karibu.
Nunua Matofali ya Inch 5 yenye Ubora wa hali ya juu kutoka kiwandani Kwetu Tabata karibu na Shule ya Tusiime.
Ratio yetu ni matofali 43 kwa mfuko mmoja wa Cement.
Bei ni Shilingi 1,000/=...
Make: Toyota Ractis
Capacity: 1496
Year; 2005
Odo: 64,000
Sports Rims,
New Tires,
Push to Start,
Imported From Japan,
Clean Interior and Exterior,
Black Metallic,
Bei 12.5 Reasonable Price...
Nauza mchele nipo Mbeya
1. Kiasi - kuanzia 1kg hadi tani utakazohitaji
2. Bei - kuanzia sample ya 1000 kwa 1kg, 1200 kwa kg, 1400 kwa kg, 1500 kwa kg na kuendelea
3. Pia mpunga na pumba laini za...
K.koo ni soko la Taifa,..kasi ya pesa na ukubwa wa uhitaji.
Fremu za mbele along bara barani ndio zenye potential kubwa ya mauzo, lakini sio cheap, ni 1million, 1.5 million, 2 million etc..bado...
Habari za muda huu wana jukwaa?
Niko na simu janja aina ya Redmi note 9 iliyo tumika miezi mitano ambayo ipo katika excellent conditions!
Bei yake ni fixed kwa laki tatu na nusu tu (350,000/=)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.