Habari wana JF. Hongereni kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.
Tafadhali ningependa kujua bei za vijora kwa jumla Kariakoo vinauzwaje? Hizi ni gauni za kina dada wengi hupenda kuvaa nyumbani...
Samaki online ndio suluisho la wapenzi,waitaji wa samaki fresh maji chumvi. Wanauza samaki aina zote kwa bei nafuu na wanafanya delivery ndani ya dar na mkoani wanatuma.
0719438200/0711756654
Subwoofer yenye Amplifier ndani
-Inch 10'
-Watts 1000
-Mdundo kama wote[emoji344][emoji344][emoji344]
Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji
Zinapatikana
Bei
100,000/=
Delivery ipo Ukihitaji...
Habari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anajua taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.
Kuna...
SHULE INAUZWA DODOMA.
-Eneo lina Ukubwa wa Heka 15.
-Bei ni Milioni 500 tu(500,000,000) unaweza kulipa kwa Awamu pia na Mazungumzo yapo.
-Shule inaunzwa iko Dodoma Wilaya ya Chamwino Km 7 toka...
Dalali_wa_ kuuza_ nyumba.
NYUMBA_INAUZWA
Chanika_Lubakaya
_____________________________
NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYA KULALA NA CHUMBA KIMOJA NI MASTER BEDROOM
_____________________________
#...
Shamba linauzwa ni beach plot liko tanga sehem inaitwa AMBONI (mafuriko).
Shamba lina ukubwa acre 2 1/2, shamba liko mazingira mazuri kuna umbali usiyo pungua kilometer 1 sea level kutoka...
Wapedwa wadau napenda niwataarifu kuwa natafuta mtu mwenye mtaji wake wa kutosha company ya catering services ambayo inapatikana hapa DSM, imasajiriwa tangu mwaka 2017 mpka sasa ipo sokoni na...
Habari wana Jf.
Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu, nauza mashine ya kusafishia taa za magari bei ni Tsh 150,000/= Haina tatizo lolote.
Uzuri wa hii mashine imefanyiwa...
Nauza compressor ndogo na heavy duty . Una uwezo wa kutembea nayo ndani ya gari yako popote uendapo. Haswa wale wanaosafiri na magari yao binafsi hii mashine ni muhimu kwako.
Ina uwezo wa kujaza...
Asilimia kubwa ya ajali za barabarani hutokea wakati wa usiku ..
Hii ni kutokana na uoni hafifu unaosababishwa na miale ya mwanga wa vyombo vingine vya usafiri au matatizo ya mtu kwa na uoni...
Imekuja mashine maalumu ya kusafisha taa kwa teknolojia mpya ijulikanayo kama, XFOLIANT TECHNOLOGY...inayofanya taa yako ya gari kurudi katika mwonekano wake wa awali.
Iko hivi hiyo mashine...
Nimejivuta sana kuandika hii post na mpaka namaliza kuandika line hii ya kwanza bado sijapata wazo sahihi ni wapi nianzie ili kitu ninachotaka kusema kieleweke.
Tafadhari! kabla hujasitisha...
Hamjambo waungwana, maboya ya kuweza ku-uphold mzigo wa kilo 10 kwenye maji fresh yanahitajika. Kama kuna mtu anajua wapi yanapatikana, tafadhali tuwasiliane private au hapa sebureni
Wapendwa.
Siko hapa kwa ajili ya ku expose shida zangu, ila naomba msaada kwenu ndugu zangu.
Ninauza hard disk ya 2TB ninahitaji sh. 200,000/- tu ili nilipie fremu ya biashara.
Kudanga siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.