Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
White Prawns wanapatikana. Bei Tsh 19,000 kwa kilo. Tupo Ferry/kivukoni Dar. Tunafanya delivery 0719438200.
1 Reactions
0 Replies
481 Views
Habar wakuu Kuna ice cream mold nimeipenda ali express ya 30 holes. Gharama yake ni nafuu Ni kama $60 katika store ya Ezzz store Nimechat nao na nimewaomba shipping watumie silent ocean na...
0 Reactions
5 Replies
989 Views
Anayejua machimbo ya nguo kali za mtumba za kiume kwa Mwanza, jinsi kali, mashati na mikato mingine, waje watupe mwongozo tusioyajua machimbo.
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Jipatie testimony face cream,kiboko ya chunusi,madoa ,makunyanzi,na inakupa mng'ao wa asili, utaipata kwa 25,000. Dodoma, mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. Pia tunahitaji mawakala
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Habari madalali wa Bongo, na wenye nyumba. Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita. Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Tunauza kuku aina ya Kuroiler F1, tunapatikana Bunju A, kituo "kwa Baharia", jirani na Kituo cha Mafuta cha GUDAL. Bei ni kuanzia 14,500-18,000..kutokana na uzito wa kuku. Bei ya jumla kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
+255 718755347, Mkinga, Tanga. Tsh 5,500/kg
2 Reactions
9 Replies
766 Views
Nyumba ina vyumba 3 vyote ni self Size plot 600sqm Usalama upo wa kutosha maana pia nyumba zimejengwa kwenye compound moja ila kila moja ina fence na geti lake Bei 285m Maongezi zaidi chek nami...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine. 1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/= 2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/= 3.Mtungi wenye gesi...
2 Reactions
97 Replies
7K Views
Huyu jamaa anaitwa Exaud Molla yupo kigamboni asee huyu jomba ni hatari Kwa mageti,madirisha na parking za gari Ana mtaji wa kutosha hizo ni baadhi ya kazi zake nimeona nishee nanyi
1 Reactions
1 Replies
496 Views
RAM ~4g HDD~320gb Charge~ Masaa matatu. Price ~300k Contact~+255762402475 Location. Morogoro.
1 Reactions
0 Replies
438 Views
Oppo A15 full box ram 3/rom 32gb used miezi mitatu tu ipo kimara mwisho, Bongo Dsm bei: 260,000. 0713096076
1 Reactions
1 Replies
516 Views
Mzigo wa dagaa chafu upo wa kutosha km kuna uhitaji au kuna sehemu unafahamu soko lilipo nicheki 0624200275 tuyajenge
1 Reactions
2 Replies
485 Views
Kama hujasoma my previous thread about how to start a freelancing business popote pale ulipo bila experience wala mtaji wowote, basi pitia sasa maana nimeelezea everything concerning this...
11 Reactions
44 Replies
7K Views
Habari wana nzengo. Nahitaji mashine used ya kukandia ngano (dough mixer) kilo 25, 3phase ISIWE kutoka China. Tuwasiliane hapa 0765390255. Karibuni
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Takwimu zinasikitisha sana linapokuja suala la wawekezaji wenye mafanikio makubwa kupitia uwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Si zaidi ya asilimia kumi ya wawekezaji wote waliojenga mafanikio...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unahitaji dagaa wa Bukoba (Safi, Ya Jua Moja bila Mchanga) nicheki, kilo moja kwa tsh 5,000 Napokea oda kuanzia kilo 60 na kuendelea, muda wowote nicheki kwa namba yangu 0624200275
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta chumba sebure na jiko kea 100000 hata ukiwa chumba na sebure iwe katika mazingira mazuri Kodi miezi mitatu iwe maeneo ya makumbusho,kinondoni,namanga,hata mwenge sio mbaya
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za muda huu, Naomba Kwa anayejua machimbo ha vitambaa Kwa bei nzuri ya Jumla na vijora! Vitambaa nataka nikauze nje ya mji na huwa Mita inakuwa 3,000 na 3,500 naomba anayejua wanapouza Kwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Fremu kama inavyoonekena ipo mbezi mwisho mitaa ya mbezi kwa Yusuf. Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka,ofisi,medical laboratory,dispensary,microfinance, nursery and daycare,tuition center...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom