Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari, Nauza nyumba yangu ipo maeneo ya Kivule kwa wamakonde 25mil, haijaisha...Imeezekwa na mabati ya msauzi..Kiwanja ni cha kuandikishana serikali za mitaa hakina hati, kina ukubwa wa sq 500...
0 Reactions
5 Replies
904 Views
Wakuu, nyumba nzuri sana na kiwanja ni kikubwa inauzwa Kiwanja kina 2095m² na kina hati (yaani ukubwa wa eneo ni skwea mita elfu mbili na tisini na tano) BEI: Tshs. 250,000,000 (milioni mia...
0 Reactions
8 Replies
891 Views
Ram 8gb ROM 128gb Betty 5000mAh Double line Chpset Snapdragon (11nm) Tsh 280,000 Inacrecks kidogo haina atizo lolote zaidi inapiga kazi freshi 0692402211
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika...
14 Reactions
41 Replies
8K Views
NAHITAJI BODY , mwenyenayo tuwasiliane 0754 889999
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Paul building agency tunafanya shughuli zifuatazo:- Tuna design Tunajenga majengo. Tunafanya ukarabati majengo chakavu. Tunapatikana dar es salaaam. Karibuni mpate huduma zetu popote pale...
6 Reactions
60 Replies
6K Views
ipendezeshe sebule, ofisi, sehemu ya mapokezi kwa pambo la mpira wa miguu uliotengenezwa kwa mbao.Bei zetu ni nafuu Sana kulingana na size ya mpira: small (40,000) small 60,000, pamoja na stendi...
1 Reactions
0 Replies
387 Views
Mambo vp wadau wa JF ,ivi unajua kwa nn watu wengine wana mafanikio makubwa kuliko wengine ,ni kwa sababu ya kuwa na mawazo mbadala jinsi ya kuendesha biashara ,maana hamna mtu anapenda kutafuta...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau nakuja tena kwenu,kwa anayejua inapopatikana hiyo mashine anijuze tafadhali
1 Reactions
5 Replies
7K Views
We have new brand APC UPS SUA3000i VA for sale, please call 0788-291560 for prices Smart-UPS APC Smart-UPS 3000VA USB & Serial 230V SUA3000I APC Smart-UPS, 2700 Watts / 3000 VA, Input 230V...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuanza kuwekeza kwenye ardhi na majengo imekuwa ni chanagamoto kubwa kwa wengi. Changamoto hii inasababishwa na kukosa maarifa sahihi na kufanyia kazi maarifa sahihi. Ili uondoe hofu ya kuanza...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Khabar za mda huu, Naomba kuulizia wanapofanya massage na kama kuna mfanya massage mnaemjua naombeni mniunganishe. Mie ni ME
0 Reactions
0 Replies
845 Views
LandCruiser Prado- TX TRJ150 Year: 2017 Cc: 2693 Eng: 2TR Fuel: Petrol Transmission: automatic Keyless/ push to start Sunroof Tires: Michelin Insurance comprehensive valid to OCT 2021 Total fuel...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Daka vyombo vizuri kutoka Zanzibar Popote ndani ya Tanzania tunatuma. Mawasiliano 0715270707
1 Reactions
106 Replies
11K Views
Habari! Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie. Pia tunafanya kazi yeyote ya casting. Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu. Tupo...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Nauza SAMSUNG A71 RAM 6GB STORAGE 128GB FRONT CAMERA 32 MP BACK CAMERA 64 MP BATTERY 4500 MAh Fingerprint Ya kwenye screen[emoji736] Clean as New [emoji95] Nauza 550k Nipigie 0621800918 Nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta Boga Lishe kuanzia tani 1 kuendelea Namba 0714122948 or 0623450842 plz plz plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina ofa ya 170k yenye condition nzuri
0 Reactions
6 Replies
388 Views
Habari Natafuta chumba cha kupanga Arusha, maeneo ya Moshono au Njiro. Kiwe chumba kimmoja ambacho ni self , kiwe kina nafasi na jiko dogo Chumba kiwe katika mazira masafi yenye ulinzi na...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom