Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Haiwezekani kila anayewekeza kwenye viwanja na nyumba apate mafanikio makubwa. Hii inasababishwa na sababu mbalimbali. Kwenye ukurasa huu nimekuandalia mambo saba ambayo yatakufanya kipato...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari, Mwenye kreti tupu za bia na soda kampuni kampuni Coca, pepsi, SBL na TBL nahitaji. Zingatia bei za kreti kwenye magari (wasambazaji) ni 10k so make sure bei zako zipo chini ya hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NATAFUTA MASHINE (MIXER) YA KUKANDA UNGA WA NGANO KWA AJILI YA MIKATE YA KILO 12 NA KUENDELEA.. KAMA IPO NICHEK 0744680670
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam. Mdau mjuvi na mpenzi wa mafanikio ya binadam mwenzie anisaidie kupata mteja wa vanilla wa uhakika hasa wa nje kuanzia kg 100. Na haizid kg 150.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu Kama kuna mtu anauza mayai awasiliane nami
0 Reactions
1 Replies
648 Views
Habari zenu wakuu, nimewaza ni wapi nitapata maduka ya vifaa vya simu na accessories mbali mbali kwa bei ya jumla Kariakoo ili niuze mikoani.
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Tunatengeza keki za aina zote na kupamba ukumbiii kwa maeneo ya Dar es Salaam Mawasiliano 0764240743 WhatsApp Karibu sana mteja kwetu wewe ni mfalmee
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunasafisha na kung'arisha masink ya choo pamoja na marumaru zenye uchafu sugu zilizofubaa Yaani kushindikana kabisa na kurudi kwenye Hali yake ya upya kwa kutumia dawa na vifaa maalum. Tuna...
1 Reactions
1 Replies
602 Views
Tunasafisha na kung'arisha masink ya choo pamoja na marumaru zenye uchafu sugu zilizofubaa Yaani kushindikana kabisa na kurudi kwenye Hali yake ya upya kwa kutumia dawa na vifaa maalum. Tuna...
1 Reactions
1 Replies
854 Views
Habari! Natafuta milango ya vioo ya ku slide kama inavoonekana kwenye picha. napatikana Dar es Salaam, kama unafaham wapi naweza kupata tafadhali nitashukuru ukinielekeza.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Make : Mercedes Model : Benz E - Class Mileage : 96,439km Engine size: 2,590cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2003 Doors : 4...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwaka 2022 unagawanyika kwa mbili. Ni mwaka mzuri. Usikubali ukaishi maisha ya dhiki na kutofurahia maisha. Unafanya kazi ili iweje kama huwezi kutenga siku kadhaa za kufurahia maisha? Dhamiria...
10 Reactions
117 Replies
7K Views
habarini wanajamvi!? naulizia ni wapi wanapouza hizi manual heavy duty blender( brenda) ambayo haitumii umeme kama hiyo hapo pichani. Achana na hivi vidogo vidogo vinavyouzwa na wamachinga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu ATEB TECHNOLOGIES tukuunganishie wireless internet isiyokuwa na kikomo kwa matumizi ya majumbani na maofisini.Tunauza huduma ya internet ambayo ni yenye speed kuanzia 1Mbps-100Mbps. Kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Toyota premio engine 7A full ac bei 4.5 kwa mahitaji ya kuuza au kununua gari yako tafadhali wasiliana nasi ili tukupatie wateja na huduma ya haraka tupo ilala na tunafanya kazi siku zote za week...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu, Naitaji duka la dawa la kununua. Likiwa Dar es Salaam itafaa zaidi Mawasiliano; 0747182280
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Hodi wakuu! Kama kichwa Cha habari hapo juu kilivyosema nahitaji mtu anayetaka kuuza biashara yake ya duka la dawa yaani DLDM au maabara ya afya kwa mikoa ya kanda ya ziwa. kwa yoyote anayeuza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Toyota Land Cruiser Prado ambayo kwa kiasi kikubwa ni imetumika kwa misele ya Dar es salaam tu ingawaje mara chache sana ilikuwa inapiga trip za mkoa. Gari ipo safi kabisa, ni wewe tu kuchukua...
4 Reactions
104 Replies
14K Views
Ipo kisemvule dk 5 kutoka stend kuu ina vyumba 3 na sebule unalipia na kuamia share tangazo fanikisha 1ml utatoka kwa atakae fanikisha ili documents zote zipo 0683715151 Sent from my SM-G965U...
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Natafuta Aluminium door kama huo ,ulotumika ,Bei ikiwa nzuri nalipia mda wowote chap nipigie 0746751987 ukinipa connection nikanunua naktumia 20,000 yako mapema tu
1 Reactions
5 Replies
639 Views
Back
Top Bottom