Jipatie neti nzuri zenye Muonekano mzuri, Nzito na zenye urahisi katika kutumia, Kwa bei nafuu sana, Nazungumzia "Tent Mosquito nets" Kwa sh.75,000 tu.
Delivery service kwa Dar ipo, Unaletewa...
Nauza Webcam Camera nzuri sana na ya kisasa aina ya Logitech Brio, inachukua ubora wa picha wa 4k. Naiuza pamoja na standa yake kwa Tshs. 300,000 Tu. Piga 0754 34 36 42.
Maelezo zaidi ya camera...
Naomba msaada waungwana nina kg 1 ya dhahabu naomba kujua wapi nitauza kwa bei nzuri kidogo.
Ninashukuru kwa mawazo niliopata, ila ukweli leseni sina na mimi sio mchimbaji, nimeipata kwa...
Katika kipindi hiki cha corona kumekuwa na ugumu katika kwenda kuchukua bidhaa duka la jumla...... kutokana na uoga na pia hofu juu ya janga linaloikumba taifa na dunia kwa ujumla
Ngojea...
Kwanza Hongera Sana zimuendee C.E.O na mwanzilishi wa hii App.
Nilichokua siamini sasa nimeamini.
nimeenda playstore nikaidownload hii App ya Nala Money.
Baada ya kuinstall kwenye simu yangu...
Habari kwa wakazi wa kibaha,
Je, ni eneo gani ni zuri linafaa kwa kufanya tamasha, liwe zuri, la wazi, lenye eneo la kutosha kwa parking na linalofikika/karibu na barabara nikimaanisha, karibu...
Wakuu habarini za huko mliko...
Nina shida na used electric motor 3 phase, 380V, 50 HZ ambazo ni 15 na 7.5 horse power (any manufacturer).
Nipo Dar es Salaam.
Popote ulipo Tanzania hii tunaweza...
Kuna mambo mawili makubwa ambayo yanaamua upate madhara kiasi gani pindi unapopata ajali ya gari.
1. Speed
Hili ndio watu wengi wanalifahamu. Kikawaida unapoendesha gari, uwezekano wa kupata...
najua kuna watakaonibeza na wengine kunikatisha tamaa lakini ukweli ni kwamba nahitaj kununua gari la milioni 1.5, kwa mwenye nayo tuwasiliane kupitia namba 0716 002323, nipo dar.
Bila kupoteza muda, nimepita kwenye page ya Dar coach (kampuni ya kitanzania ya kuunda bodi za mabasi) aise hawa jamaa wameunda bodi kali sana waliyoiita "tanzanite" ikiwa imevaa chasis ya scania...
Ndugu zangu wapendwa mwenye line ya M PESA ambayo haitumii naomba aniuzie au aniazime kwa makubaliano. Au kama kuna anaye jua namna ya kuzipata kwauharaka zaid line za Tigo pesa na M pesa...
Fursa ni hiiiiii sasa nakuuzia king'amuzi cha Canal + kwa Tsh 160,000/- tu kikiwa na kifurushi cha mwezi chenye uwezo wa kutizama EPL, LA LIGA, FRENCH LEAGUE 1, BUNDASLIGA, EUROPA LEAGUE, UEFA...
Kama wewe ni mpenzi wa androud games.
Sasa tuna android game mpya ipo inapatikana playstore.
Unaweza download bure kabisa uka enjoy time yako,
Chakufanya bonyeza link hii hapa chini kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.