Guys kuna darasa la mapishi ya cake za kila aina.
Mafunzo ni online kwa namba na mail zilizopo. Tuwape suport wadogo zetu.
Kwa wakazi wa Dar yupo dada Loveness huko ilihali kwa wakazi wa Iringa...
Kwa wale wataoweza mikoani Mimi nipo Dodoma nauza sponge za kutengeneza masofa wanaziiita SHEET kitaalamu hizi ni zile chakavu tunauza kwa kilo kama wewe ni fundi hii kutasaidia kukupunguzia...
Karibuni Sana raba Kali za watoto size zilizopo Ni kuanzia size 18_size 38 raba Ni full box nzuri Sana.
Bei ya jumla kuanzia pear tano na kuendelea sh 15,000 na Bei ya reja reja Ni 17,000 tu...
Habari wakuu,
I hope mpoo good na mapumziko ya wiki leo ni Jumamosi kwetu tumeamka na mvua ya upepo fulani hivi.
Anyway twende kwenye mada husika hapo juu, moja ya moment nzuri ninazo zikumbuka...
Habari,
Leo natka nilete mada ndogo ndani ya mada ndogo
Katika media tumewahi kukutana na maneno Insolvent na Bankruptcy. Pia kama ni mfanya biashara umewahi kusikia pia neno KUFILISIKA au...
Pata viwanja kwa bei nafuu eneo la Kibaha madafu na mbezi mzalendo njia ya malamba.
Eneo lenye urefu wa 56 meter kwa 43 na mapana ya meter 19 umbali wa dakika 20 kwa miguu toka morogoro road. Kwa...
Habari wadau, naomba msaada anayejua sehemu inapouzwa hiyo dawa hapa Tanzania.
5%Minoxidili, Kirkland au Rogaine, yote ni majina yake.
Nimeshazunguka kwenye pharmacy mbalimbali nimeikosa.
Habari za wakati huu;
Nikiwa na umri mchanga kwa sera za kitanzania nilikuwa na kiu kubwa sana ya kumiliki biashara na kuwa mfanya biashara mkubwa.Kipindi hicho internet ilikuwa adimu sana na...
FAHAMU MACHACHE KUHUSU GRANITE.
Na tiles Installation
INSTAGRAM @tiles_installation_team
[emoji3513] 0714 12 20 11
Karibu,
GRANITE(Itale)
Itale ni aina ya jiwe la asili ambalo limetengenezwa...
Kwa UNYENYEKEVU mkubwa nawahabarisha kwamba
Hostel Vyumba 14 inapangishwa/kuuzwa
Eneo Malimbe: Mwanza Chuo Cha SAUT
Bei: Milioni 6 tshs kwa mwaka Kupangishwa / Milioni 180 tshs kuuza (mauzo...
Wakuu niko Moro nilikuwa nataka chumba kimoja chenye choo ndani bajet 40000 hela ya dalali wakuu hali sio shwari kodi ipo ya miezi 3.
Msaada mwenye connection
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.