Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habar, Naomba nkusadie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo. Ni rahisi sana. Andaa document Copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba: 1. Leseni ya biashara 2. TIN no. 3...
7 Reactions
82 Replies
37K Views
offer offer Unregistered (chassis number) Toyota Alphard Y.O.M 2007 Low Mileages 65200 kM Cc 2360 Full Ac Full file All automatic Doors And Put OG Sports rims & good tyres Clean in and out All...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu, kama kichwa kinavyojitangaza, mimi kama mtaalamu wa mambo ya kutengeneza mifumo mbalimbali ya computer, nawakaribisha kwa mwenye uhitaji wa mfumo wa aina yoyote, niko hapa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Offer yangu ni million 7 mpaka 8, Toyota Crown royal au Nissan Fuga iliyotunzwa. Piga simu au WhatsApp 0625640867
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja aina ya TWIGA, DANGOTE, TEMBO. Pia bei ya bando la bati??? Naombeni msaada ndugu zangu 🙏🙏
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Natuma ni wazima wa afya,Nilikuwa na naitaji kununua sabufa katika pita pita nimekutana nahii sabufa kwa mwenye kuifahamu vizuri anipe mrejesho kabla sijayavagaa
4 Reactions
23 Replies
5K Views
habari wana jamiforum,poleni na majukumu,mimi napatikana jijini mbeya kwa mtu anaeuza flat screen Tv na yuko mbeya au ving'amuzi anaweza wasiliana na mimi kwa namba whattsapp :0747175984 Napia...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
a
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza plot yangu yenye ukubwa wa square meter 950 ipo vikindu kwa mama jack km 2 kutoka barabara ya rami umeme upo maji yapo kuna ninaz eneo ni tambalale bei ni 15ml mazungumzo yapo 0683715151...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo zenu. Nianze tu kwa kusema afya ni uhai , na miili yetu kuugua ni mojawapo ya changamoto kwenye maisha. Mimi nafanya kazi na nimeajiriwa , mi ni...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Nahitaji black pepper yakutosha kiasi Cha container moja,, Kama unajihusisha na hiyo biashara au una uwezo wa kuipata naomba tuwasiliane 0744971153
1 Reactions
3 Replies
583 Views
Nauza used Dell computer Ram 2GB Hard disk 320GB CPU duo 1.6ghz Screen 15' Bei 300,000/= maelewamo yapo KARIBU MAHALI Dar es salaam
1 Reactions
4 Replies
759 Views
Habari Wengi hawajui kuandaa Proffesaional Business Plan, Business Plan ni Frame Work tu ambayo iko katika uniform format ambayo wewe unaingiza maneno yako kulingana na sifa mbalimbali za...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ram 3gb Rom 500gb bei 300,000 iko kwenye box lake, yani mpya 0713096076 kwa muhitaji piga simu
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Hasa sufuria kama hizi kwa bei nzuri ambayo ni affordable, asanteni
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za mda huu wadau. Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo. Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Ni wauzaji wa mitumba kwa jumla (Mabalo), tunapatikana Mapambano karibu na Zahanati ya kijitonyama, tuna tunatuma Mikoa yote, kwa mawasiliano zaidi piga/Whatsapp number 0715559494. Karibuni sana...
4 Reactions
65 Replies
42K Views
Computer [emoji985] yenye sifa hizi inatafutwa: Rama 4 core i3 and above Processor 2.5 and above Ssd 250gb and above. Brand yeyote. Kwa yeyote aliye nayo anicheki inbox Bujeti yangu ni tsh. 500,000.
2 Reactions
8 Replies
462 Views
Habari wana JF, Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar..Jumla 18,000 rejareja 20,000. Ni imara na hazipauki kirahisi wala kukakamaa. Kwa mawasiliano nipigie 0657940974
3 Reactions
0 Replies
696 Views
Bei 750,000 Honda Cc 50 Inatumia mafuta Maelewano yapo 0674664354
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom