Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Una uhitaji wa issues za stationery kama.. Photocopy Printing Binding Lamination Basi usihangaike tena. Ninatoa hizo huduma, kwa wakazi wa Dar Es Salaam na kwa wale wa mikoani naweza kukutumia...
1 Reactions
1 Replies
920 Views
Habari wadau .. Nauza Azam tv ya antena kwa 80000 tu.. Nimenunua 99000 (pamoja na antena yake).. Sijawahi kutumia kwasababu naishi nje ya mji sana hivyo hakifanyi kazi.. 0622 050591 0765...
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Kwa maswali na maongezi zaidi nitafute kwenye number 0686819779.. Gharama za usafiri ni juu yako.. Naviuza sababu naamia Arusha na sioni sababu ya kusafiri navyo itanicost mno bora nkanunue vipya...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunazo mashine za kuchomea vyuma (welding mashine) nzuri na imara sana. Tunazo mashine za kuchaji betri za magari ambazo ni imara sana. Je unataka kufungua ofisi yako ikuingizie kipato? Au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TUNACHORA RAMANI ZA NYUMBA ZA KISASA TANZANIA NZIMA KWA BEI NAFUU SANA WASILIANA NASI LEO KWA WHATSAPP +255 717 040 837/ 0767 267664 UANZE UJENZI.
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu...kam mjuavyo mtu ni afya na afya haiji bila kula... Karibuni niwauzie sembe yenye ubora kwa jumla na rejareja 25kg-25500 (jumla),26000 rejareja 10KG-11000(jumla). 5kG-5500...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Nauza i phone 11 promax 1,500,000/- tu 📍iPhone 11 Promax 🔋 Bettry Health 100% Up ⚙️64gb 💵 1,500,000Tsh _________________ 📍Ubungo dsm 🇹🇿 ☎️0783985530
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Karibuni Ndugu zangu wana Jamii forum katika uzi huu upate nunua/Agiza Gari kutoka CARHUNT JAPAN Katika uzi huu nitaweka Bei ya Gari ambayo itajumuisha Bei ya Gari na Usafirishaji (C&F), Gharama...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Jipatie 13mm Powerful impact drill mpya yenye (550W) full set kwa TZS 120,000/= ikiwa na TOOLBOX. Ina waranty ya mwaka mmoja ikiwa na.. 1. Bit set za Chuma, Mbao, Ukuta na Aluminium na vifaa vya...
0 Reactions
1 Replies
587 Views
Habari ya mwaka mpya wakuu, mwaka wa 2022. nawatakia kila la heri yote, sasa natafuta machine ya kutengeneza juice ya miwa, machine mpya, ni wapi naweza inunua au ni wapi naweza enda kuangiza...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za Muda huu,naomba msaada kwa mdau mwenye address za wauza simu(Wholesale) CHINA. Check me through 0764 222638
0 Reactions
10 Replies
887 Views
Nauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Bajaji haina shida yoyote Karibu 0713096076 Kilimahewa, Mwanza Bei: 3 milioni tu mil only.
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Je umewahi kuahirsha jambo lolote lile katika maisha au biashara? Umewahi kuahirisha jambo dogo au kubwa kwa umuhimu? Kuahirisha ni tabia ya kuacha kufanya jambo fulani na badala yake unafanya...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kuelekezwa pahala ambapo naweza kununua mashine ya kupasua mbao. Hii iwe ni ya kuhamisha na kwa vyovyote vile isiwe inatumia umeme. Isiwe chainsaw maana inaharibu mbao.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni mashine ya kuangushia miti au kupasua mbao kwa wale wazoefu wa kuitumia Mashine iko katika hali nzuri Tangu inunuliwe imetumia chain mbili tu, Imebadilisha piston mara moja Sababu ya kuiuza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nauza chainsaw aina na brand ni kama inavyoonekana kwenye picha. Chainsaw hii ni used, imetumika mwezi mmoja tuu. Bei yake ni 1,400,000/= tuu. Mazungumzo yapo Mashine iko Mbeya. Interested...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu. -Tunafunga na kurekebisha madish -Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania...
3 Reactions
348 Replies
57K Views
Mji mpya umeanzishwa ,mkabala na halmashauri mpya ya Kibaha ( Mlandizi),Nyuma ya kiwanda cha Kiluwa Steel. viwanja vipo kilomita 1.9 toka Morogoro road. Kiwanja Cha sqm 1,200 (mita 40 kwa mita...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari,kwa yeyote mwenye uhitaji wa set ya dryer kama inavyo onekana kwenye picha karibu ujipatie . Bei : 45000 Location : chanika Mawasiliano : +255688058336
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom