Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
INAUZWA 1.7mil... 0713096076 ipo IGOMA CC 150 GIA 5. HAIJAGUSWA POPOTE ENGINE NZIMA. KARIBU
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wakuu naomba msaada kuhusu bei halisi ya Printer L805 kwa Mwanza, maana kunajamaa namuulizia kuhusu bei et ananiambia kwa Mwanza zimepanda bei ni 850000 je' ni sahihi kwa bei hiyo maana...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji mafuta ya nazi in bulky kuanzia lita 1000 na kuendelea,aliyenayo atoe offer yake
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Anahitajika binti mwadilifu wa kulea watoto wawili pale mama yao anapokwenda kazini. Sehemu ya kazi: Kimara Stop Over, Dar es Salaam Idadi ya watoto: Wawili Mawasiliano ya mama wa watoto...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei ya kulenga kabisa hii chombo haina tatizo lolote. ipo mawasiliano, Dar. njoo ukague gari 0713096076 CHANGAMOTO ZAKE Imepauka Rangi Bampa linahitaji marekebisho kidogo, like 40,000 Tshs...
0 Reactions
8 Replies
989 Views
Habari wana JF, Nina kiwanja changu nakiuza 4mil kipo Kigamboni kimbiji golani eneo la kidagaa kina hati toka ardhi 600sq ni km 35 kutoka Kigamboni Ferry .. Kwa mawasiliano zaidi piga 0657940974
1 Reactions
0 Replies
831 Views
Amani kwenu. Uvimo Maktaba MFUMO WA UMEME WA NJIA MBILI NA UMEME WA SOLA NA TANESCO KUUNGANISHWA Habari wadau, maktaba yetu inaaamini sote hatujambo. Uvimo tunao uwezo was kuweka mifumo ya...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wadau, Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank, Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa kiwanja kina...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Iko airport, Dar ni kipya inakua hivyo na kistuli chake. Price: 300K Contacts: 0689015394
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Waungwana kwema? Nataraji sikukuu yaenda vyema kabisa. Ninahitaji matofali ya kuchoma kwa Dar es salaam wapi naweza pata? Ni haya matofali ya kuchoma ya kawaida kabisa Kama tunayotumia kujengea...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Mashine ndogo za kufulia nguo za watoto na wakubwa pia Ni semi automatic machines Yoko Jf brands kutoka China Zina kg 5 Zinatumia umeme mdogo Zinahamishika na Rahisi kutumia Zinafua,kusuuza na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Afri Power Roofing ni Wataalamu wa kuezeka/Kupaua nyumba waliobobea katika fani hii na wenye uzoefu mkubwa. Our Services:- [emoji828]Tunaezeka/kupaua nyumba aina zote kwa uezekaji wa kisasa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya leo, Naomba mnisaidie kujua maeneo gani kuna viwanja vizuri kwa Moshi manispaa Budget ni Million 3 mpaka 4 Asanteni.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana Jamiiforums. Kwa yeyote mwenye ufahamu wa jinsi car remote ( yupiteru VE-E69R) inavyo fanya kazi, naomba kujuzwa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NAUZA MEZA NA VITI VYA MBAO meza 3 za chakula Meza 2 kubwa kwaajiri ya counter ya mhagawa Kuna viti 11 vipo fresh ni bado vipya vilitengenezwa kwaajiri ya mgahawa sasa vinauzwa kwa dharula Vyote...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wakuu. Nauza Bajaj TVS, ipo Mbauda Arusha. Ipo katika Hali njema. Bei 2.3m. Mazungumzo kidogo yapo Kwa mteja atakayekuwa serious. Simu 0776655978 au 0656388678
2 Reactions
7 Replies
733 Views
Naomba kujua gharama ya kununua mashine ya kufyatua tofali kwa mkono nipo tanga mjini nimesikia zidapatikana sido sijui ni kweli naitaji yenye uwezo wa kutoa tofali ya nnchi 8
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja. Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure! Tunapatikana...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
350,000Tsh 1 year warranty Full HD Inasoma flash pamoja na external harddrives Unaweza ukaifanya kama monitor ya computer Unapewa na wall bracket ukinunua Piga/Whatsapp 0753038470
0 Reactions
7 Replies
684 Views
Kama kichwa cha habari kinavosema, nina kreti 10 hap za soda na chupaa zake. Bei ya kreti moja na chupaa zake ni tsh 3500/= Nipigie 0672037238 nkuuzie
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom