Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari ndugu zangu. Ninahitaji gari aina ya Nissan Hard body isiyo na turbo. Iwe na hali nzuri bajeti 12m.
1 Reactions
3 Replies
553 Views
Naulizia mashine ya kuchanganyia au kupikia ubuyu zinapatikana kweli?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Here some EcoActs plastic poles 3.3inch x feet 8 cost 24,500, which are suitable for farm fencing making, gardens making and road signs, our poles they do not rot, terminate free, long lasting...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
overlock machine - millioni moja (1,000,000) Sewing machine - millioni moja (1,000,000) Button lock machine -millioni 2(2,000,000) Button machine - mjllion 2 (2,000,000) Kama mnavyoona kwenye...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Wakuu NAHITAJI mtu mwenye gari aina ya Toyota Ist aniuzie. Iwe Cc 1290. Isiwe imerudiwa rangi au kusushwa injini. Namba DF na kuendelea. Awe mwenye gari sio dalali. Mwenye nayo anicheck- PM
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Mashine ipo Gongo la Mboto, Majohe, Dar Es Salaam. Bei ni Milioni 4 tu (Hii ni ofa ya mwisho haipungui zaidi ya hapo). Utapewa pamoja na vifaa vyake kama...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Property international limited Inajihusisha na uuzaji wa viwanja vilolivyopimwa na Barbara ndan ya miradi yetu... Miradi hiyo ipo Kigambon Mlandizi Bagamoyo Mwenye uhitaji, Contact:0652066570...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Gari aina ya Rav 4 miss Tanzania inauzwa. Ipo Mbeya. Namba DCV. Imesimama sana. Mileage: 177000 Sababu za kuuza: Nimebadilisha gari Mmiliki: Mimi mwenyewe. Bei 16m. Mawasiliano : 0710613913 |...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu na Wadau wanaojua thamani ya hii kitu. Naiuza kwa bei rafiki Standalone Server Cabinet With top mounted Colling Fan, Naiuza ikiwa pamoja na Sisco Firewalls and Sisco Switch. Nauza baada ya...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Habari za muda huu ladies and gentlemen? nauza kiwanja Bunju A Dar es salaam. size ya kiwanja ni 30*30 hatua za miguu. bei ni 7mil net. karibu Kwa mazungumzo 0713096076
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari.. Nauza mayai ya kisasa, kwa bei ya rejareja. ni makubwa, natuma mpaka mikoani.. Bei ya sasa ni 8000 kwa trei. Location: Nipo dar es salaam. whatsAp 07450 98591 Sent from my Infinix...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau karibuni Kisemvule Mkuranga mujipatie viwanja ukubwa 50 /40 umbali kutok barabara ya kusini ni 3km,2km bei!! ni 1.5.ml 1.8ml karibun ukileta mteja unapata asilimia 10 unalipa kwa awamu zaidi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja. Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure! Tunapatikana...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Vodacom Tanzania hamna jinsi mnaweza kupunguza haya maneno mengi mkaweka hata VODA TZ AU VODACOM TZ. HILI JINA LENU REFU MPAKA MUONEKANO WA CM UNAKUWA BOARED. JARIBUNI KUWA KAMA MITANDAO MINGINE...
1 Reactions
3 Replies
772 Views
Habarini wadau, Natafuta nyumba maeneo ya Goba, au Mbezi Shule hadi Mbezi Makonde. Nyumba iwe ndani ya geti na chumba, sebule,jiko na choo. Bajeti yangu ni kuanzia 150k - 250k . Kwa mwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello! PICHA ZA UKUTANI Kulingana na mabadiliko ya teknolojia tumekuletea mfumo mpya wa picha za ukutani zisizokua na kioo ni mbao tupu. Ni imara na haziloani na maji kulinda ubora wa picha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
WADAU, NAUZA KIRETI TUPU ZA BIA KWA ELFU 9000 KWA KIRETI MOJA(CHUPA NA KASHA LAKE), ZIMEBAKI KRETI 13. ZINAPATIKANA BUNJU B, PIGA 0759 819 819
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imezindua rasmi simu yake mpya toleo la CAMON 16s leo jijiini Dar es Salaam pamoja na kuwatambulisha mabalozi wa simu hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Ndugu zangu, Kutokana na kuhamishiwa kikazi mkoani katavi, sina jinsi zaidi ya kuiuza biashara yangu ya bucha ya nyama ya ngombe, iliopo eneo la bunju b mabwepande(off mabwepande road). Bucha...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Tembelea kisemvule km 8 kutoka mbagala rangi3 utajipatia viwanja mashamba kwa gharama nafuu ili ufanye ujasiliamal wako wenye tija
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Back
Top Bottom