Chumba kizuri sana ndani ya geti
Bei ni 70k miezi sita
Una sub meter yako umeme
Ni sekunde kufika barabara ya lami
Choo mna share wawili
Wahi mapema
dm
Karibu na hotel ya moveck
Yaaani tangu ninue dish la Dstv haipiti miezi mitatu chanel zinakata kata natafuta fundi anagusa gusa akiondoka ikikaa baada ya mda linazingua tena!!
sasa nimechoka kutoa hela kila siku...
Nauza kiwanja kinachopatikana Itezi Mbeya.
SIFA ZA KIWANJA
1. Kimepimwa na hati ipo.
2. Umeme hauhitaji nguzo au nguzo moja ukihitaji.
3. Nimeweka msingi wa mawe wa nyumba (Trip 9).
4. Mashimo...
Je umefanya maamuzi ya kufikia uhuru wa kifedha kupitia majengo ya kupangisha?. Je umefanya maamuzi ya kustaafu mapema zaidi kupitia majengo ya kupangisha?.
Je upo tayari kuanza kumiliki majengo...
Fursa kwa wakazi wa Dar es salaam na Habari ndugu,napenda kuwapa taarifa kuwa kuna fursa ya uanzishaji na ufugaji wa nyuki kwenye maeneo ya mikoko Dar es salaam.
Maeneo yanagaiwa kwa walio...
Fremu ipo mita 30 kutoka barabara ya lami ya shekilango road, nyuma ya rombo green view hotel mkabala na legho hotel.
Kodi ya miezi 3/6/12 ndo inayopokelewa.
Karibu kwa mawasiliano
0672037238
Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:-
1. UHD Tv (4K resolution)
2. VIDAA SMART OS
3. High Dynamic Range
4. DTS Studio Sound
5. Bluetooth
6. NETFLIX, YOUTUBE etc.
7. Cast screen option
8. 3 HDMI ports...
Transporting tender notice.
35 flat bed trucks or called vichanja, needed for offloading chemical for soap making cargo from dar es salaam port to kibaha from tomorrow.30 mt flat base capacity in...
Nyumba hii Ina vyumba nane, fremu mbili za kufanyia biashara, jumla ya vyumba kumi. Ina umeme tayari, ina milango mizuri ya magliri madirisha aluminum Gypsum tailizi, iko eneo zuri Sana.
Nyumba...
Nauza friji aina ya sharp non frost haigandishi mabarafu inagandisha vitu ulivyoweka rtu inapoza kwa haraka bei l380k mwasiliano 0622115570 IPO ARUSHA
0712206032
Mafuta haya yanakuza ndevu,yanang'arisha ndefu na kuzifanya ziwe na muonekano mzuri
Pia kwa wale wenye uwalaza kuna mafuta mazuri ambayo yanarudisha nywele kwenye uwalaza
Mawasiliano
whatsapp...
Nauza gari yakufanyia biashara kirukuu mistubishi ,kinafaa kwakusambazia bidhaa au kubebe bidhaa za ufugaji kama mayai ,nyama kuku nk. Bei ni 4mil
Mawasiliano .0622115570 au 0782719980
Kipo...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini,
Karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.