N A U Z A
Car wash set (vifaa vya car wash )
Jipatie
1.mashine za kuoshea zipo mbili (kazi kazi) hapo hukwami masaa 24
2.mashine ya kunyonya vumbi Lita 20
3.tank la Maji Lita 2000
4. Bango...
Habari zenu!
Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi...
Wadau, salaam! Ninauza kisimbuzi cha Startimes kile walichoingiza sokoni kwa mara ya kwanza wakati wa Kombe la Dunia South Africa mwaka 2008. Mtakumbuka wakati ule walituuzia shilingi 70,000/- ...
Bajaji inauzwa kwa Ofa ya kufungia Mwaka 2021, kwa wajasiriamali au watu wenye ndoto za kupata hesabu ya 20k au 15k kutegemea na mkoa uliopo hii ni kwa ajili yenu,
Bajaji ni nzima haina shida...
Habari ndugu wana jukwaa,
Wakuu naombeni msaada wa bei za hzi spare za mtumba (OG). Aina ya gari ni Toyota ist (2006) kwa anaefaham bei zake, kuna ndugu yangu kapata majanga sasa fundi kamwambia...
Nataka nitafute masoko ya Vanilla nje ya mipaka ila kabla ya yote ningependa kujua bei ya Vanilla ni TZS ngapi kwa sasa hasa maeno inapotoka iwe Kilimanjaro, Bukoba ama Iringa.
Naomba anayejua...
Je unajua tank lako la kuhifadhi maji safi na salama kwa matumizi mbali mbali linabidi kusafishwa kila baada ya mwezi
Kwa sababu pindi unapohifadhi maji mda mrefu bila kulisafisha tank huifadhi...
Set mpya ya kisasa ya vifaa vya kupambia cake
Set ina vitu vyote vya kupambia cake.
Inakuja na vitu vingi kama sufuria 4 za cake
Meza ya kupambia
Nozzle 48
Kisu cha kukatia
Mifuko ya...
Habari wandugu,
Nauza sofa set yenye jumla ya siti saba (7). Muundo wa sofa ni (Love seat) ambayo ni siti ya watu wawili. L-shape ambayo inaunganisha vipande vitatu. Kipande kidogo cha siti ya...
Wakuu niaje? Nitakua na mzigo wa vifaranga vya kuku wa nyama (Parent stock) kuanzia wiki ya pili ya january 2022. Kwa yoyote atakayekua interested asisite kuuliza au kuweka oda mapema kabisa kwa...
Habari zenu,
Drone Online Ads tukiwa na uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika ujasiriamali Tanzania, na hasa jiji la Dar ,sasa tumeanza huduma ya kusaidia wajasiriamali kukua katika maeneo...
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako
details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity...
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition.
Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal
70,000/=
location:Dar-es-salaam
wa.me.255716889489
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hii machine, iwe halali sio ya wizi, iwe ya kutumia umeme au mafuta. Bajeti yangu ni 700K. kwa mwenye nayo karibu tufanye biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.