Habari.
Nauza simu ya Samsung A30 toleo la mwaka huu, simu ina miezi mitano tu toka inunuliwe, ipo katika hali nzuri ila tu Screen Protector ndio imecrake..
SPECS.
●4GB RAM
●64HDD
●Laini Mbili
●MP...
Habari zenu waungwana,
Nahitaji cover na protector ya sony Xperia 5 (2019)
Nipo Zanzibar, nimejitahidi Kwa huku nimekosa.
Kwa yeyote ambaye anauza tafadhari tiwasiliane Kwa 0716 403 314.
Asante.
Shamba la miti ya mbao Aina ya pines yenye muda wa miaka 7 na ukubwa wa ekari 200 linauzwa,bei Kwa kila ekari ni 1.8milion. Shamba lipo mpakani mwa njombe na songea,kijiji cha wino. Barabara...
Habari wana jamvi,
Ninauza mbwa aina ya GSD PURE kwa bei rafiki kabisa ya kufungia mwaka.
Tsh 900,000 tu. Ana mwaka mmoja na chanjo zote muhimu kachomwa.
Karibuni sana.
Dar es Salaam- Kigamboni.
Nauza baiskeli ya watoto.
Haina tatizo lolote.
Baiskeli ni mpya.
Haijatumika sana.
Ipo tu ndani muda wote.
Inafaa kuendeshwa na watoto umri wa miaka 4 mpaka 8.
Ukihitaji tairi za pembeni...
Shamba linauzwa, Kibaha Mlandizi Miswe ukubwa eka 55.
Chanzo cha maji huakika, kilimo kipindi chote kwa mwaka,maji ya mto ruvu na mto msumbiji.
Linafaa kwa kilimo cha mazao mengi, ulimaji wa...
Ndugu zangu nauza TV mbili.
1. Boss 32".
Hii imetumika kama miezi miwili. Iko vizuri kwa kila kitu lakini tatizo lake iliungua taa, mara ya kwanza nilitengeneza ikakaa sawa lakini ikaungua mara...
Inaweza kukomboa mtama, mpunga, mahindi n.k (kwa saa 200kg)
Inaweza kusaga mahindi, mchele, manjano, mtama , kahawa n.k( kwa saa kg 300)
Inatumia motor ya 3000 watts
Mashine ni mpya
Unatumia...
Ps2 slim ikiwa na vifaa vifuatavyo
✓Waya wa moto mpya
✓Waya wa AV mpya
✓Memorycard mpya
✓Flash yenye game 10
Dar es salaam
Tsh 110k bei fixed
0692402211
Habari Wanajamii,
Natumaini mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kutafuta ridhiki,
Nakuja mbele yenu kama Freelancer ninayotoa huduma zifuatazo:
1. Preparation of financial reports
2. Preparation of...
USED FROM UK VERSION
DELL LATITUDE 7420 "14 (2021)
3GHz Intel Core i7 4-Core (11th Gen)
16GB Of LPDDR4xRAM |256GB M.2 SSD
"14 1920×1080 IPS - Type WVA Display
Intergrated Intel Iris Xe...
Wataalam na mabingwa wa kutungeneza Mabango Tanzania, Logo, Posters, Flyers na uchapishaji (Printing).
Wasiliana nasi kwa 0762 399 650 kwa maelezo zaidi.
Habari zenu.
Kijana mwenye nishhati (energy) ya kufanya mauzo vituo maalum tutavyompangia na kudeliver kwa wateja wetu waliopo kwa bidhaa asilia za ngozi anahitajika.
Piga 0713 039 875 (Awe Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.