Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari. Nauza simu ya Samsung A30 toleo la mwaka huu, simu ina miezi mitano tu toka inunuliwe, ipo katika hali nzuri ila tu Screen Protector ndio imecrake.. SPECS. ●4GB RAM ●64HDD ●Laini Mbili ●MP...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Nahitaji cover na protector ya sony Xperia 5 (2019) Nipo Zanzibar, nimejitahidi Kwa huku nimekosa. Kwa yeyote ambaye anauza tafadhari tiwasiliane Kwa 0716 403 314. Asante.
0 Reactions
11 Replies
839 Views
Gaming pc DELL Inspiron 15 INTEL CORE I5-6200U 2.30GHZ Turbo UPT0 2.8GHZ c p u 6TH GENERATION HDD 500GB 8GB-DDR4 speedGraphics AMD Radeon with 2Gb Dedicated battery 3hrs * 15.0 inches...
0 Reactions
4 Replies
753 Views
Shamba la miti ya mbao Aina ya pines yenye muda wa miaka 7 na ukubwa wa ekari 200 linauzwa,bei Kwa kila ekari ni 1.8milion. Shamba lipo mpakani mwa njombe na songea,kijiji cha wino. Barabara...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Ninauza mbwa aina ya GSD PURE kwa bei rafiki kabisa ya kufungia mwaka. Tsh 900,000 tu. Ana mwaka mmoja na chanjo zote muhimu kachomwa. Karibuni sana. Dar es Salaam- Kigamboni.
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nauza baiskeli ya watoto. Haina tatizo lolote. Baiskeli ni mpya. Haijatumika sana. Ipo tu ndani muda wote. Inafaa kuendeshwa na watoto umri wa miaka 4 mpaka 8. Ukihitaji tairi za pembeni...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Shamba linauzwa, Kibaha Mlandizi Miswe ukubwa eka 55. Chanzo cha maji huakika, kilimo kipindi chote kwa mwaka,maji ya mto ruvu na mto msumbiji. Linafaa kwa kilimo cha mazao mengi, ulimaji wa...
6 Reactions
53 Replies
7K Views
Ndugu zangu nauza TV mbili. 1. Boss 32". Hii imetumika kama miezi miwili. Iko vizuri kwa kila kitu lakini tatizo lake iliungua taa, mara ya kwanza nilitengeneza ikakaa sawa lakini ikaungua mara...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Inaweza kukomboa mtama, mpunga, mahindi n.k (kwa saa 200kg) Inaweza kusaga mahindi, mchele, manjano, mtama , kahawa n.k( kwa saa kg 300) Inatumia motor ya 3000 watts Mashine ni mpya Unatumia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ps2 slim ikiwa na vifaa vifuatavyo ✓Waya wa moto mpya ✓Waya wa AV mpya ✓Memorycard mpya ✓Flash yenye game 10 Dar es salaam Tsh 110k bei fixed 0692402211
0 Reactions
1 Replies
587 Views
Kwa yeyote anayehitaji mkaa kwa siku naweza kumuuzia gunia mbili ila awepo dar, bei 60,000 tu Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
383 Views
Nataka kuanza kupeleka dagaa dar Naomba kwamwenye huerewa wa soko la dagaa wa Mwanza wana beigani?
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga Zanzibar maeneo ya Fuoni, Kwerekwere, Kisauni mbweni
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari Wanajamii, Natumaini mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kutafuta ridhiki, Nakuja mbele yenu kama Freelancer ninayotoa huduma zifuatazo: 1. Preparation of financial reports 2. Preparation of...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
USED FROM UK VERSION DELL LATITUDE 7420 "14 (2021) 3GHz Intel Core i7 4-Core (11th Gen) 16GB Of LPDDR4xRAM |256GB M.2 SSD "14 1920×1080 IPS - Type WVA Display Intergrated Intel Iris Xe...
0 Reactions
0 Replies
501 Views
bei ni million 17 ni pm kama upo interested lipo katika hali nzuri sana
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Watengenezaji wa Mabango Tanzania kwa gharama nafuu zaidi. karibu tukuhudumie, wasiliana nasi kwa namba 0762399650 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jipatie mapazia mazuri mno Price: 33,000 (piece mbili). Size: upana 1.5m kwa kila piece. Deliveries: Zipo kwa Dar na mikoani natuma pia. [emoji338]Ukihitaji nicheki whatsapp +255685269533...
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Wataalam na mabingwa wa kutungeneza Mabango Tanzania, Logo, Posters, Flyers na uchapishaji (Printing). Wasiliana nasi kwa 0762 399 650 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu. Kijana mwenye nishhati (energy) ya kufanya mauzo vituo maalum tutavyompangia na kudeliver kwa wateja wetu waliopo kwa bidhaa asilia za ngozi anahitajika. Piga 0713 039 875 (Awe Dar...
1 Reactions
5 Replies
781 Views
Back
Top Bottom