Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza kitanda mbao aina ya mninga cha ukubwa wa 6x6. Nmekitumia kwa muda wa miaka minne sasa. Nakitoa kwa bei ya kindugu kabisa na mwingine akaanze maisha. Napatikana mtoni kijichi mbagala kuu...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Storage 128Gb Ram 6Gb Cpu - Octa- core Max 2.32GHZ Mi Remote MAIN CAMERA 64MP Led flash, HDR, Panorama Video 4k@30fps, 1080p @30/60/120fps... SELFIE CAMERA Single 16mp HDR, Panorama Video 1080...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Bata mbegu nzuri sana ya kienyeji wanauzwa Bunju B. Bei: Majike makubwa Tshs. 15,000 Wenye miezi 5 Tshs. 10,000 Dume kubwa la mbegu Tshs. 25,000 Piga 0759 819 819
1 Reactions
0 Replies
801 Views
zote ziko vyema sana. A10s hii hapa ram 2 rom 32 bei 170,00 at kigamboni, Dar es Salaam
0 Reactions
6 Replies
922 Views
1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu 2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20 3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba 4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta 5.ina jiko, sebule, umeme maji...
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Natafuta gari mark x iwe na rangi nyeusi ama rangi ya silver iliyokolea sana pesa iko mkononi iwe no D yoyote ile kama unayo ama una mtu anauza basi nicheck inbox tufanye biashara iwe katika hali...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wajf naamini hapa ni shemu sahihi kuna wasomi wa nyanja tofauti pia wapo waliosoma phisics hata watu wa kawaida tu. Kutokana na dunia kuhitaji zaidi utalaam nimeona watu wanatumia zaidi...
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Grab this Offer Now! Xiaomi Redmi Note 10 (Global Version) Rom: 128 GB ( store more videos, photos,etc) Ram : 4 GB Condition: Used for 3 Months Battery: 5000Mah- 12 hrs + Delivery: From Dar es...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za asubuhi poleni na misukosuko ya maisha. Ninahitaji gari hasa nikipata vichanja vinavyo weza kubeba Tone 30 nahitaji zinibebe Korosho mtwara kuleta Dar naomba kama utakuwa nazo njoo...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Waheshimiwa sana salaam. Mimi ni mkaazi wa Dar es Salaam na hivi karibuni nimepata interest ya kufuga bata na kwa kweli nimeamua kuanza ufugaji wa bata wa kienyeji (bata maji) ila ninapenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafta chumba cha kupanga kilichopo bagamoyo road kuanzia pale darajani kwenda mpka mwisho Africana, kiwe karibu na barabara bajet yanguni kuanzia 100k mpka 150k. Mawasiliano: 0710299840
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Nahitaji hizi perfume ziwe original na sio Copy. Kwa Dar es Salaam naweza pata sehemu gani ? Nitashukuru nikipatiwa mawasiliano yao au IG name
2 Reactions
12 Replies
2K Views
NAUZA SOFA BED HALI NZURI SIZE 5 KWA 6 KIPO BAGAMOYO ZINGA BEI 200,000/= CALL 0624257466
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jamii forum naitwa Gilbert Zenas Rauya tafadhali nimepotelewa na vyeti vyangu original vya taauluma kwenye bus la Kimotco mnamo tarehe 29-11-2021 lilikua linatoka Moshi kwenda Mbeya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Je, wewe ni mmiliki wa hospital, shule ama micro-finance yoyote na unahitaji huduma zetu tupo kwaajili yako. Zendela company limited ni kampuni ya IT iliyopo dar es salaam na iliyojikita katika...
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Habari wadau, Natafuta chumba single, budget yangu ni Tshs 60k. Kiwe ndani ya fence. Njoo na picha whatsapp 0768475474
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Natoa huduma zote za psychometrics. I am a certified psychometrician kwa miaka mitatu Sasa. Kwa wale wote wanaomba kazi au wanaotaka kupanda madaraja kazini tunawasaidia kulingana na mrejesho wa...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
Uvimo Maktaba UVIMO tunafaya kazi zote kwenye nyumba pamoja na mafunzo Tunatambua ahadi yetu ya kuangazia namna Uchaguzi wa ramani inavyoweza kuongeza gharama za ujenzi. Je, uchaguzi wa ramani...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Piece moja yenye upana mita 1.5 unaipata kwa sh.25,000tu. Piece moja yenye upana mita 2 unaipata kwa sh.30,000tu Kama utahitaji fullset kama set namaanisha matatu yaani Mazito mawili na moja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upendo mkubwa wa watumiaji wa simu za #xiaomi umezidi kuongezeka kila simu, wengi walianza kwa kujaribu kutumia hii simu ya bei ya chini zaidi kuliko zote za #xiaomi inaitwa #redmi9a. Yes wacha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom