Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji wachimbaji wa visima virefu.
Site: Mwavi Bagamoyo...kijiji kimoja kabla hujafika kiwangwa ukitokea Dar
Urefu: 140m-150m
Ofa: Milioni 5 Cash
Note...
hello members,
kampuni ya muye group ya Tanzania kwa kushirikiana na CHINA -AFRICA TRADE RESEACH CENTER NA kudhaminiwa na manisipaa ya mji wa hengshui hebei china
wataendesha maonyesho ya...
Camera holder:
Condition: ni used kwa mwezi mmoja, sawa na mpya.!!
Carrying capacity:Dslr cameras,mirrorless cameras croped and full sensor cameras.
Location: tabata kinyerezi
Price: 55000tsh...
windows za aina zote zinapatikana kwangu popote pale ulipo duniani niweza ipata windows yako kwa mfumo wa kisasa pia utaelekezwa jinsi yaku install windows yako kwenye computer yako kwa kutumia...
Habari Wakuu
Nina rafiki nje ya nchi anatafuta kuwa mbia kwenye biashara ya uwindaji wa kitalii. Kama Kuna mmiliki wa hunting block tafadhali tuwasiliane Whatsapp 0676434611.
Shukrani
Kichwa cha habari kinajieleza, niunganisheni wadau.. nguo kali mno, nicheki kwa 0738664971 tunauza jumla na rejareja. Mfanyabiashara usipate tabu ya kufungiwa usichojua kuna nini ndani...
Kwa mkulima yoyote anayeitaji kupimiwa udongo tunapima. Unaweza kuleta sample ya udongo tukakupimia ili kutambua soil pH ya udongo wako. Gharama ni Tshs 20,000/= Cash kwa kila kipimo. Majibu baada...
Habari zenu,
Mimi ni kijana nimeingia katika biashara ya maji safi, nina malori yangu ya maji safi ya kutosha, changamoto ni kupata kazi au tenda Mjini Dar.
Hivyo basi nachukua fursa hii...
Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high Quality.
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi...
Bila shaka mko vizuri.
Mwenye accounting software kwa ajili ya kuratibu collections na expenditure kwenye shule, tafadhali tuwasiliane.
Note: Isiwe na Mambo mengine Kama vile academics, sijui...
Jipatie email kwa ajili ya biashara yako kwa bei ya Tsh 35,000/= kwa mwaka.
info@biasharayako.com
sales@biasharayako.com
Tuwasiliane kwa Maelezo zaidi 0764178822
Nikikombe kinachoweza kuchemsha ama
Kupasha maji ya chai
Kwa Bei simple tu ya 30,000
Kipo dar
Natuma mikoa yote
Mawasiliano
Whatsaap.. 0719257400
Normal calls and text ...0767902788
Hello dears,
Natafuta kampuni ambayo inaweza kufanya soundproofing kwenye boardroom 2 na executive offices mbili pia. Kama mpo naomba mnicheck PM ukisema jina la kampuni, if registered, location...
Inasaga karanga kuwa rojo (Peanutbutter) pia inasaga Almond kupata almondbutter nk.Bei tsh 999,000. Uwezo kg15 kwa saa. Umeme wa majumbani. Duka lipo Kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.