Hello JF,
Poleni sana na majukumu yenu ya kujenga Taifa, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina tafuta electronic weighing scale tatu, zenye uwezo wa mpaka 150kgs, kwa yeyote au mwenye...
Wana JF habari ya wakati huu.
Nahitaji kununua bitumen carpet zile ambazo huchomelewa sehemu ambazo zinaweza vujisha maji hasa zege la floor slab. Naweza kupata wapi hiyo bidhaa kwa anayeuza kwa...
Full paid documents, Well maintained
Engine Type 2nz, Engine capacity 1290
Haina tatizo lolote, Full aircondition
Imerudiwa rangi smart, Haijafunguliwa engine,
Bei Tsh. milioni 9.5
Maongezi yapo...
Kama picha zinavyoonekana wadau,hii TV inauzwa, ina ubovu.
Tatizo: Mtoto aliiangusha ikapiga 'kleksi'. Inawaka vizuri na kuonesha ila picha sio nzuri tena. Kwa mujibu wa mafundi inatengenezeka...
Wale wakali wa decoration,
Wapaka Rangi za aina mbalimbali, karibu ununue rangi kwetu na utapata maji ya kunywa buree
Rangi tulizo nazo ni
1.Drewa (mineral stone) kg 25
2.Cone mix (Terrasit) kg25...
Wanajamvi habari kuna vitabu hapa vya wanafunzi wa masomo ya science naviuza kama ifuatavyo
1. Understanding biology for Advanced level 20000 Tsh
2. Pure mathematics 1st edition@ 10000 Tsh
3...
Nyumba inauzwa bunju A
Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet
Uwanja ni sqm700
Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani.
Bei 150m
0762815104
Naomba kujua - kwa anayefahamu - mahali ninakoweza kununua chupa tupu
za glass
za robo lita,
nusu lita na
lita moja
kwa ajili ya kuhifadhia vitu mbalimbali.
Natanguliza shukrani.
Kwa mahitaji ya perfume hizi zenye harufu nzuri sana tuwasiliane no. 0653405342....Bei nauza tsh.7500
Kuna Maryam perfume, salaam perfume, Al rehan perfume, Dirham perfume n.k
Napatikana mbande Dar
Huu ni ujumbe mahsusi kwa wawakilishi wa makampuni, viwanda na biashara zote wakiwemo wajasiriamali.
Hakuna sababu ya kuhangaika na safari za nje ya nchi kufuata bidhaa au huduma. Ni upotevu wa...
Wana jf karibuni mjipatie viti vya ofisisi kwa kila kiti unapata kwa bei ya laki 250,000 viti vipo vizur sana PIGA 0677423349 tukuletee ulipo Kama wewe ni mkazi Wa dar es salaam location ni kigogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.