MFUMO WA KUANDALIA RATIBA YA MASOMO MASHULENI.
Mfumo huu umetengenezwa mahususi kwaajili ya kurahisisha kazi ya uandaaji wa ratiba ya masomo shuleni.
Kazi kuu ya mtumiaji ni
1. Kuingiza taarifa...
Salaam, nyumba ya kupanga inatafutwa Mkuhungu Dodoma:
1. Bei 250,000
2. Uwezo wa kulipa mwezi 1_ mitatu
3. Iwe karibu na maeneo ya shule za Tumaini, St Home au Chemchem
Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B...
Habari mabibi na mabwana!
Tunauza vitu mbalimbali used ambavyo mostly ni vitu vya ndani
Kama:
Friji
Vitanda
Sofa
Magodoro size mbalimbali
Bufa/redio
Tv aina mbalimbali
Zipo pia cherehani...
Ndugu wanajukwaa natafuta, kiwanja cha kununua mkoani Mwanza kama inavyosomeka hapo katika kichwa cha huu Uzi.
Sifa: 400SQM, kiwe kimepimwa, kinafikika na barabara, hakina mgogoro wowote na pia...
used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3
Kampuni: homebase
Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake
Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside
Bei: 650,000
Contact: 0712518770.
[emoji1485]Imetumika kiasi na bado ipo vizuri.
[emoji1485]Unaweka laini mbili.
[emoji1485]Ina face unlock na uwezo wa 4G
[emoji1485]105,000/= tu pamoja na delivery dsm pekee.
Piga/whatsapp...
Tunajihusisha na uuzaji na usambazaji wa tangawizi,
bei 1kg=800tsh
Gunia kubwa(debe 12)=lak 1.4
Ni fursa kubwa kwa wafanya biashara za viungo na viwanda vinavyojihusisha na bidhaa za...
Nina mafuta ya Alizeti halisi ambayo imepitia process zote za refinery na kuhakikisha yanabaki as clear as possible huku yakibakia na health benefits za vitamins muhimu kama A,D,E na K bila...
Habarii za usiku wana Jf polen na majukumu.
Kijana nimejichanga sasa naitaji kiwanja cha million 1.5 na mm nianze mchakato wa kutoka ktk nyumba za kupanga asanten sana, kiwanja kiwe DSM.
Nawasilisha
Habari wana JF,
Natafuta siagi za karanga, parachichi, kahawa, embe, shea butter, Sea moss, Bentonite Clay. Brown sugar, wheat etc
Pia natafuta (Not oils)
Rose water, Aloe Vera(organic)...
FURSA! FURSA!FURSA
[emoji389][emoji389]VITENGE TOKA CONGO NA VIJOLA KWA BEI NAFUU.[emoji56][emoji294][emoji91]
1:[emoji389][emoji3060]VITENGE ORIGINAL VIZITO TOKA CONGO pis 3.....jumla 23,000/=...
Wakuu naombeni kujua jinsi gani naweza pata makala za kitambo nimejikuta nawamisi akina lodi lofa mapungo pimbi baba ubaya na wengine wengi nimejaribu google sipati mzigo kamili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.