Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuuu nauza hizi raba, kwa bei ya jumlaa na reja reja,ninao mzigo wa kutoshaa. Kimoja bei ni 20,kuanzia pc mia bei inaporomoka hasaaa. Karibuni.
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Samsung 32"Led TV.. iko kijichi Dar. BEI YAKE 300000 0713096076
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninauza pasi original za Philips! Hizi ni pasi bora na imara mno,ukiinunua na kuitunza vizuri ni mkataba wa kudumu, Hizi pasi ni mpya na zipo kwa box zake. Kwa bei za dukani zinauzwa 45000-50000...
5 Reactions
48 Replies
10K Views
Tecno spark 4. ram 2 rom 32 bei 145,000 0713096076
0 Reactions
2 Replies
596 Views
Habar Kama kichwa cha habar kinavojieleza!! Mwanza supplier wa maji ya kilimanjaro wako wap
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni msaada wapi naweza kupata miracle box original pamoja na key zake nipo dsm. Km unayo nichek 0713209535
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Tunauza samaki wa maji chumvi Pata samaki wa Maji Chumvi kwa kiwango utakacho toka kwetu Kwa kilo tunauza 7500 Kama utachukua kuanzia kilo mia moja bei inapungua. Wasiliana nasi kwa namba...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Ohy wadau nahitaji simu(Samsung) yenye good condition tufanye biasharaa , Pia isiwe chini ya 64 GB internal itakuwa poa sana. Kama uko Dar au Moro town na una mzigo njoo tuongee
1 Reactions
11 Replies
815 Views
Wana jamiii nimekuja leo sina cha ziada zaidi ya kuuza ujuzi wangu nilioupata darasani kwa miaka takriban mitano. Basi ipo hivi, kama unataka ramani ya aina yeyote ile tutakufanyia kwa weledi wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HP NOTEBOOK intel celeron 2.4ghz maxspeed 500 GB HDD 4GB RAM (unaweza pata 8 GB RAM ukiongeza Tshs. 50,000) 15.6 INCHES Inakaa na battery kwa lisaa 1 tu na sio zaidi. Bei yake ni Tshs. 300,000...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Tuna design business cards za kisasa kwa gharama nafuu. Utatumiwa business card yako kwa mfumo wa image, then utaweza kuprint mwenyewe kwenye stationery yoyote ile iliyo karibu nawe. Gharama ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Suti mseleleko ni wauzaji wa suti za kike, kiume na suti za watoto kwa wateja wa Dar-es - salaam na mikoani. Bei zetu ziko poa kabisa zinaendana na gharama ya fedha yako. Kwa mawasiliano zaidi...
9 Reactions
24 Replies
12K Views
Wakuu habari. Natafuta PS 2 used kwa walioko Dodoma. Tuwasiliane....
1 Reactions
5 Replies
631 Views
Viwanja viko vitatu. vyote vina hati za serikali umbali ni km 1 kutoka lami. size ni sqr m 600 kila kimoja (30m*20m) Eneo lina umeme Bei ni 25mil 0713096076
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari. Natoa huduma ya kutafsiri kutoka Kiingereza au Kiswahili kwenda Kijerumani.
1 Reactions
4 Replies
678 Views
PC IMESHAUZWAA WADAU asanteni kwa Ushirikiano.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Ndg ikiwa wewe ni mdau na una magari ya kusafirisha mizigo tafadhali tuwasiliane baada ya kukubaliana na bei elekezi. Tunalipa $7,700 lakini pia kuna hakika ya mzigo wa kurudi. Wasiliana nami...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
True_garden_designers tunatengeneza garden/bustani nzuri za nyumbani,hotelini, shuleni,kanisani,na maofisini,zenye muonekano wa aina mbali mbali. Popote tunakufikia ndani ya Tanzania. Tutafute...
20 Reactions
163 Replies
48K Views
BILL COUNTER MACHINE-0686 316 748 [emoji832]Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services [emoji832]Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom