Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae.
Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba...
Kuku sasso wanauzwa
Umri miezi3 na wiki3.
Wako120,
Bei ni 12000,
Location Ushirombo.
Kama mteja ni wa mbali atapunguziwa bei ili abakie na nauli ya kusafirishia.
0629306194 karibuni
Habari wana jukwaa!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji mayai ya ndege aina ya Kwale tray moja. Kama upo Arusha au maeneo ya jirani na unauza basi tuwasiliane PM please. Ukija PM njoo...
Urban electrico istallati installation Company ni kampuni ya umeme inayo jishughulisha na kazi zote za design na istallation ya umeme wa:-
01. Nyumba na fances
02. Hoteli & bar
03 Disco and club...
Ni tv mpya kabisa imetumika miez miwili tu ina Wifi,bluetooth ,Chromecast ,play store unaweza download app mbali mbali za Android kama whatsap instagram n.k
HDMI port ,USB , iko full boxed Na...
Habari za wakati huu;
Kwanza kabisa nitanguliza shukrani za dhati kwa mwenyezi Mungu kwa neema zake.Leo nataka tuzungumzie issue ya BODI ya kampuni na umuhimu wake.Kampuni nyingi private huwa...
Habari za wakati huu;
Katika kufanya kazi na wajasiriamli wengi huwa nakutana na wale ambao huwa wanatafuta Mbia(Partners) kwa sababu mbalimbali ikiwamo mahitaji ya mtaji,ujuzi,connnection...
Watoto wa kiume wanapitia changamoto nyingi sana ,kama matumizi ya madawa ya kulevya,udhalilishaji wa kijinsia, uchaguzi wa marafiki wabaya, makundi maovu na nyingine nyingi.
Kitabu ni ebook bei...
Samsung galax a70 for sale
Simu bora kabisa zinauzwa zimebakia 3 tu.
Uwezo wake ni kama ifuatavyo
1. Internal memory 128 GB
2. Ram gb6
3.Full hd +amoled
4. Rear camera 32mp+ 8mp triple...
Uvimo ndio fahari ya watanzania kwa sasa.
Huduma zoote za ujenzi, ushauri na mafunzo juu ya kila kitu kwenye ujezi SASA UNAPATA UVIMO.
Uvimo Maktaba
Je, nje ya gharama ya vifaa vya kupandisha...
Viwanja vipo Cheka kilipo chuo Cha Silva
Vina ukubwa wa 25/23 Bei milioni tatu 3
Viwanja vimebaki vichache njoo uwekeze
Hostel kwa wanachuo nicheki 0767672719
0787672719
Habari za mchana,
Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi.
Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.