Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau salaam! Naitaji nshine ya kutengeneza Juice ya miwa kwa Dar. Iwe mpya au used kwa bai rafiki! Naomba ni PM kama u a offer.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ballon Engne 1g kavu (engine haina shida yoyote, njoo na mtaalam wako akusaidie kui zoom) Full ac, full kipupwe Bei mil 2 haipungui, Unapewa mafuta lita 20! Ipo Dodoma, makao makuu ya nchi...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Kwa miaka zaidi ya 15 ambayo umekaa kwenye mfumo wa elimu umejifunza vitu vingi sana. Kwanza ulijifunza jinsi ya kusoma na kuandika, baadae ukajifunza vitu muhimu kwenye historia, jografia...
5 Reactions
27 Replies
9K Views
Habari za muda wana jf. Ningependa kuuliza kama kuna mtu yeyote anajua gharama ya kukodi fremu za juu kabisa pale soko jipya ya kisutu.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ndugu,nahitaji mwenye anaeuza saketi ya samsung note 10 plus anichek 0744481066
1 Reactions
2 Replies
1K Views
*****†********
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Jifunze kutengeneza sabuni ya kipande ndani ya nusu saa bila kutumia mashine. Jifunze sabuni zaidi ya 10 ikiwemo sabuni ya udongo,ya ukwaju, ya Asali, ya liwa, ya manjano, ya kahawa, ya habat...
0 Reactions
2 Replies
662 Views
Habarini za majukumu wakuu!, Muhusika wa hii account ni mjasiriamali na mkulima mdogo ninae jihusisha na kilimo cha zabibu Dodoma kwa lengo kuu la kutengeneza Mvinyo (Wine) na wine hizo...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Toyota Rumion ,petrol ,1490Cc ,automatic ,Full Ac ,very gyd condition naiuza 14mil serious buyer contact 0742597424
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Meza ya chakula inauzwa sh 60,000 piga sim no 0765153701
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Habarini za muda huu wana jukwaa...natafuta mtu anae uza mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla Dodoma tufanye biashara!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama heading inavyosomeka anaefahamu wapi naweza kupata makoti ya mvua kwa bei ya jumla (low price) anisaidie... Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ninauza kiwanja, kipo buswelu,Mwanza njia ya kwenda kiseke karibu na nyumba za PPF kimeshapimwa huduma za kijamii zimefika(umeme na maji) ukubwa Ni 47 kwa 35 Bei Ni 5mil call:0767905919 for more...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari za sahizi. Kuna jirani yangu anahitaji kiwanja jijini mwanza kisiwe cha milimani.
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Tafadhali mwenye kujua hiki kifaa kinaitwaje na kinauzwa wapi anijuze. Kinafungwa kwenye gudulia linakuwa kama water dispenser na kinachajiwa, Chaja yake kama ya simu. Nimekikuta sehemu ambapo...
1 Reactions
3 Replies
918 Views
Habari za maisha wanaJF? Mimi naomba msaada ni wapi naweza kupata nguo kali za wadada za mtumba kwa bei nafuu hapa Dar haswaa zile wanazopenda kuvaa wanachuo nimeattach picha ya mfano wa nguo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
inahitaji betri tu ambayo inauzwa Tsh 25,000 Bima imeisha Tvs 125 Gia 4 iko mbagala. karibu tufanye biashara
1 Reactions
4 Replies
1K Views
TOYOTA CHASER GF-GX 100 ✓ Model Year: 1998 ✓ Engine capacity : cc 1980 ✓ price: 4,000,000 Tshs (fixed) ✓ call/WhatsApp 0753285898
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom