Gari imekaza.
Gari inatembea mwendo mdundo
Haina shida wala kelele
Njoo na Mil 2 nikuachie
sms 0625750755 gari za bei kitonga zipo.
imebaki hii tu
INAFUATA FORD XLT manual gear kwa milioni 7
Salaam wadau. Ninatafuta kiwanja lililopimwa kwenye mradi wa viwanja 20,000 eneo la Bunju au Mbweni.
Ukubwa wa kiwanja kiwe si chini ya sqm 1,500. Kama unacho tafadhali tuwasiliane hapa au PM...
Wakuu,
Nahitaji hicho King'amuzi Cha Azam, Target yangu ni Used but kikiwa Kipya Ntatabasamu na kukuongezea pesa Nipo Dar es Salaam,
Kiwe katika hali nzuri.
Offer Yangu 70 elfu, ila naweza...
Kama nilivyo anza hapo juu nahitaji mabati migongo mipana geji 30. Pia naomba ushauri nibati za kampuni gani ambazo rangi yake haipauki kwa wauzaji.
Mimi nipo manyoni hivyo kama zinakuwa manyoni...
Habari wanajamvi,nauza Nyumba ipo eneo husika hapo juu,kama unahitaji njoo inbox au hapa hapa,au kama wewe ni dalali upo maeneo ya Iringa mjini nicheki pia
Simu ipo katika good conditions na inapatikana kwa Sh.80K tu... specifications zake ni kama ifuatavyo:-
✓Ram ya 2Gb
✓Internal storage ya 8Gb
✓Camera ya selfie 5 Megapixels, 8 Megapixels
✓Battery...
Hii Airpod Inakaa na chaji siku 7 mpaka siku 10
Powerbank yake inanguvu yaani unaweza kuchajia mpk simu(2000 mah)
Ina mdundo balaa na nusu full base
Ni touch
Bei ni elfu 60(60,000 tshs)...
Habari,
Kwa yeyote anaehitaji/ unamfahamu anahitaji huduma ya kujifunza au kutengeneza Profesisional Business Pieces(Documents), CV-Curriculum Vitae, Proposal, Presentation & huduma za Digital...
Nahitaji Apartment Mwanza maeneo isamilo, Capri point, Ghana, Bwiru..maeneo karbu na mji
Iwe na wifi, ulinzi wa kutosha, TV vyumba vitatu au viwili Ni sawa ,jiko nakaa siku 7 tu.
Ramani za kisasa za nyumba, finishing(rangi &gypsum ceiling) , furnitures za aina zote( kitchen cabnet, vitanda, milango, frem za milango meza ).
Wasiliana nasi. 0689887556
Bei mil 10.5
Engine 1AZ
engine volume: cc 1900
Full AC Full kipupwe
kms run 97,000
hakuna tatizo lolote ndugu mteja
Document zipo originale
text/call 0625750755
Gari ipo Dsm inakusubiri wewe
Ninauza kiwanja changu kipo Mapinga, umbali wa km 3.5 kutoka Mbweni mwisho na 2.5km kutoka kambi ya jeshi la anga. ukubwa ni sqm 617. Eneo limekuwa surveyed na nina document halali za umiliki...
Kiwanja kipo sehemu nzuri Kibaha - Kiluvya huduma zote zipo
Maji, umeme bei ni 4,800,000/= maelewano yapo kwa ukubwa 20/20 mawasiliano zaidi 0717610089
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.