Nyumba ipo Kashai, Kashenye, Bukoba, ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na sebule, ina umeme na maji, pia ina eneo kubwa la kujenga nyumba zaidi ya mbili, bei ni milioni 26, bei inazungumzika...
Nauza machine ya kusagia Karanga pamoja na vitu vikavu
Ina watts 3000
Inaweza kusaga mpaka gram 700 kwa wakati mmoja.
Ni brand new
520,000/ tu
0713662655
Habari wapendwa , nauza projector ndogo(mini) nzuri sana kwaajili ya kuangalia movies au mechi za mpira au kuchezea game ... ina port ya HDMI, AV , unaweza kuweka flash na micro sd card na...
Wakuu, bila shaka hamjambo!
Nataka ku-upgrade Ram ya pc yangu, toka 4gb to 8gb!
Naomba yoyote mwenye idea na gharama ya RAM 8gb za laptop tujuzane hapa, hasa DDR4!
Salaam wana jamvi, naomba msaada kama nitapata kioo cha star x inch 43 led Tv. nipo Katoro Geita, hata kikuukuu kama nikizima tutaelewana.
Nawasalisha.
Asilia Natural Cosmetics we have more than five years in conducting free training on hands on entrepreneurs when an Individual or organization volunteer learning materials and associated costs...
Samsung Galaxy A03s zimeshafika brand new
Karibu tukuhudumie tupo kariakoo china plaza ground floor shop no 4 ,tupigie 0622666111
zinakuja na warranty ya miaka 2
Key Specs
☑️Display
6.50-inch...
Wadau naitaji haraka mabati ambayo ni used(yalio kwenye hali nzuri) au rejected kwa bei nzuri, kwajiri ya kujengea mabanda ya mifugo. Naomba offer DM!
NB: Niko Dar es salaam.
Karibu Cruise Auto Spares tunauza spare zote za magari ya Europe kama vile BMW,VW,MERCEDES,AUDI,Range Rover ,Mini cooper na Jeep kwa bei rahisi sana..tupo Arusha na dodoma.unaweza kutupata kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.