Wakuu
Naitaji bidhaa tajwa hapo juu mwenye nazo tafadhari naomba unipm
Ni shockup za nyuma
Niko dar es salaam, mwenye used na mpya wote tunaweza kuwasiliana
Gazeti linaloongozwa na kupendwa nchini Tanzania na Afrika Mashariki hatimaye limerejea mtaani baada ya kukaa nje kidogo ya ulingo kutokana na kutoa taarifa iliyokuwa haina usahihi.
Taarifa za...
Hellow wana Jamii Jorums
Sisi kama vijana ambao hatuna ajira na hatuna mchongo wowote mtaani basi tubadilike “Wengi hawaheshimu 'vision' (maono) kwa kuwa hawaelewi, wanaoelewa vision ni wenye...
Habari wanajamvi,
leo nawaletea banda la biashara .
Banda hili sifa yake kuu ni movable, lina matairi! so unbaweza ukawa unaligogeza kwenye maeneo unayoyataka
lina jiko la Gas kama unavyoona...
Tupo Mbezi ya kimara.
TUNAFUA NGUO za maharusi
Suti
Jeans
Nguo za kawaida
Pamoja na mapazia Aina zote.
Tunakausha na kuonyoosha vuzuri(pasi)
Pata huduma nzuri .
Karibu Sana mshtue na mwingine...
Habari nahitaji eneo dogo la ujenzi, maeneo ya makabe njia panda maeneo hayo hata kama unaingia kidogo siyo mbaya.
Sihitaji dalali,budget Milion4 charp
No yangu 06521326
Habari wanajamvi.
Kama kichwa cha uzi unavyosomeka, kama unahitaji Rupia ya Mjerumani sasa unaweza kupata. Kwa anayehitaji aniPM au nipigie kwa;
0655531349
0689531349
Usibip kuepuka usumbufu, msg...
Wadau Salaam!
Inaitajika Frame ya kuweka duka la vitu vya ndani (chakula na groceries) kwa jumla na lejareja, liwepo sehemu yoyote Dar yenye mkusanyiko na mzunguko mkubwa wa watu.
Mwenye...
Nahitaji chumba na sebule ikiwezekana jiko na choo ndani maeneo karibu na morogoro road kuanzia Magomen mpaka kimara nyumba iwe nzuri ikiwezekana kuwe na geti sihitaji dalali madalali...
Imetumika miezi mitano hivi. Ni nzima kabisa, bado inafanya kazi vizuri ktk ubora wake kama ilivyonunuliwa. Upepo safi kabisa na inarotate vizuri tu. Unaweza kuikagua ukiridhika tunafanya...
je una bidhaa ambayo unataka kuiuza?
karibu tukuuzie bidhaa yako iliyotumika ,
jiunge na group letu la whatsapp
https://chat.whatsapp.com/FVBnU70HjaE2pyVxB7nTth
Hello!
Je, wewe ni mfanyabiashara na unapata shida katika kusafirisha bidhaa zako kwenda sehemu moja kwenda nyingine au kuweka record ya mauzo yake pata suluhisho kwa kutengenezewa Vitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.