Hizi mbegu pamoja na majani,magome na mizizi ya mti wa Mlonge vimekuwa na faida nyingi za kiafya kwa watu.
Sasa kuna eneo moja huko mikoani nilikoenda kutembelea ndugu zangu nimekuta hiyo...
Habari zenu wana jamvi.
Natarajia kuanzisha biashara ya muziki kwa maana ya kukodisha muziki. Lengo la kufungua uzi huu ni kupata ushauri juu ya vifaa na taratibu zingine.
Kwa kifupi ndio nataka...
Wakuu hongereni kwa kukubali tozo zote
Mi hitaji langu nahitaji jezi kwa bei ya jumla zle jezi ambazo znauzwa kkoo na machinga elfu tano tano ndo nazitaka hizo ila iwe kwa bei ya jumla
Nahitaji...
Jina:Shabani Mnkai.
Makazi: Dodoma,Tanzania.
Kata:Nkuhungu.
Mtaa:Mtube
Fani: Mtaalamu wa masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi (Profession in Guidance and Counselling.
Karibu nikuhudumie kwa...
Ndugu yangu anauza kabati la aluminium, alikua anauza nguo
Lipo magomeni usalama
Bei laki 2
Unaweza kuuzia nguo au stationery au dawa nk nk
Ukitaka njoo pm nikupe namba yake
Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei...
Tunatoa huduma za Usafirishaji wa Mizigo kutoka Dar es Salaam kwenda Mikoa yote Tanzania Karibuni Sana kwa Huduma Bora na za Haraka za Usafirishaji wa Mizigo.
Tunapatikana
Kiungani&Lumumba...
Mashamba Yanauzwa Mkoani Njombe zaidi ya ekari 5000 kwa wale wanaopenda kulima Parachichi basi mashamba haya yanafaa sana Barabara ipo mpaka shambani maji yapo mpaka shambani wahi sasa msimu...
Ni forehead, upande wa kulia.
Used nje ya nchi, nilinunua kuweka kwenye gari lakini mambo yamenibana nahitaji pesa sasa.
Nilinunua 150,000/= Ilala, nitajie ofa yako niisikilize.
Location DAR...
Kwa Mahitaji ya LOGO, WEBSITE, MOTION GRAPHICS, POSTERS, NA GRAPHICS DESIGN mbalimbali kwaajli ya kampuni, taasisi au Biashara yako karibu sana tuwasiliane kwa WhatsApp/Call 0627808683
Tupo...
Paka wenye umri wa miezi miwili ambao ni wa asili na wakamata panya mahiri wanauzwa. Wako watatu. Kila mmoja ni shilingi elfu arobaini. Wanapatikana Survey hapa Dar es Salaam. Wale wote...
SOLD SOLD SOLD
Ni kampuni ya GEC
Imetumika miaka mitatu
Gas ipo
Taa ya ndani inawaka.
Location Mbezi mwisho barabara ya Kinyerezi.
BEI ni 150,000/=
NJOO UIKAGUE THEN TUFANYE BIASHARA.
0687603307
Nyumba inapangishwa 150,000 sebule kubwa chumba na choo ndani kodi miezi 6
ndani ya uzio
ipo kigamboni mikadi kutoka main road mpk nyumba ilipo ni meter 70 ipo pembezoni mwa beach ya mikadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.