Pata kiwanja 10 kwa 10 kwa shilingi milioni mbili tu eneo la mbezi mzalendo. Usafiri wa bajaji toka mbezi stend ni 1000 tu. Eneo ni kubwa hivyo unakatiwa kutokana na ukubwa unaotaka na hela...
Kama heading inavyojitanabaisha ninatafuta simu hii inayoitwa Nokia 1680c ambayo ilitoka mwaka 2008.Niliwahi kutumia simu hii kuanzia 2009 mpaka 2013. Ilikuwa ni simu nzuri kimuonekano, kitendaji...
Ninahitaji mashine ya kutengenezea tofali blocks inchi 5 na 6 Wengi niliowauliza ni million mbili na nusu kwa inayotumia umeme na million tatu na nusu ya diesel JE SIDO HUFANYA BEI GANI?
BILL COUNTER MACHINE*
MASHINE YA KUHESABIA HELA
🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
🔺Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii...
Naitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Mabwepande Bunju B. iwe stand alone na ndani ya fance. Pia naitaki viwanja vya kununua(vilivyopimwa) maeneo ya Magwepande na Bunju B. Kama una offer naomba...
Habari wakuu
Jipatie Nokia 105 Original kwa bei ya ofa ya Shillingi 35,000 (elfu thelathini na tano tu). Rangi zilizopo ni black na blue.
Free delivery kwa DSM
Mikoani tunatuma kwa gharama ya...
Hi JF members
Eneo kubwa na zuri sana kwa ajili ya sheli, au kujenga big supermarkets or mabweni ya shule, lipo barabarani, na eneo la barabara limeachwa la kutosha kabisa
Size: 73 × 68 meters...
Habari.
Nauza Laptop dell ;
Hii laptop haijui mkono wa fundi na muda wote nimeitumia peke yangu kwa kifupi imetuzwa.Naiuza sababu nimepata dharura nahitaji pesa ya haraka.
-Processor Intel( R)I...
Kiwanja kinauzwa haraka Singida kipo maeneo ya uwanja wa ndege. Ni flat hakihitaji levelling. Bei rahisi 4m tu. Vile vile, kuna viwanja vya size mbalimbali vinauzwa eneo la Mwaja, SIngida. Kwa...
Viwanja vipo busweru mpakani karibu na nyamhongoro na Pia ule mradi wa halmashauri wa East Busweru wa planned town of ilemela.
Viwanja vina sqm 800 na 812 vyote vinauzwa million Saba kila kimoja...
Habari wakuu. Nimejifunza udereva mikoani, kwa sasa nahitaji mtaalam wa kuendesha town center anipe mafunzo, gari itakuwa yake, kwa sasa bado sijaagiza gari yangu.
Malipo maelewano
Piga 0713 039 875
Get standalone electronic signature system that allows you to sign your documents digitally while keeping the public and private keys secure.
It Supports multiple digital signature formats...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.