Habarini wanaJf, natumai mu wazima wa afya.
MwanaJf mwenzenu ninatafuta gari ya kufanyia biashara ya kusafirisha abiria kwa njia ya mtandao, lengo ni kujikwamua kiuchumi kwa kipato cha halali...
Hiii sofa set inauzwa na meza yake kwa pamoja.
KUHISU HIZI SOFA
Jumla ni watu saba (7), yaan 3,3,1. pia ina cha kuwekea miguu
Bei ni laki 8 vyote kwa pamoja na meza.
Siuzi kimoja kimoja
Ila...
Nahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kufanya biashara ya samaki eneo ni Kongowe Dar es Salaam
Wawe na uwezo wa kutengeneza samaki wabichi, kukaanga samaki. Malipo hayatapungua 5000 na hayatazidi...
Suluhisho la Migogoro ya ulipaji wa bili za umeme (LUKU) Hasa kwenye nyumba za kupanga na maduka na sehemu nyinginezo Ambazo watu zaidi ya mmoja wana changia mita moja ya Umeme .
Ili kuepukana na...
Linauzwa jiko la gas plate 3,
Jiko ni jipya kabisa halijawahi kutumika.
Mahali: Dar es salaam
Bei: 220,000/= maelewano yapo.
Karibuni.
Mawasiliano 0688 055 606 au ni PM moja kwa moja
Habari, autogas tanzania ni kampuni ya kufunga gesi kwenye magari, tunatoa hiyo huduma kwa uber kwa awamu tatu ,
Autogas inasave 60% gharama za mafuta 150-200km kwa 15,500/-
Call 0626151427
Whstp...
Kwa usalama wa nyumbani na usalama wa ofisi yako Black Horse Africa tupo kwaajili yako. Tuna kamera za kisasa zenye uwezo mzuri wakuona hata kizani bila kupoteza taswira halisi
Karibu tukuhudumie...
Natafuta taa za LED najua maduka nayoweza pata kwa reja reja ila ningependa kama ningeweza pata in bulk kwanzia piece 50..bei nayo iwe rafiki kidogo.
Taa nazohitaji ni ceiling lights za 6Watts...
Nataka kufanya biashara ya Saloon au Barber shop, natafuta anayeuza viti na vifaa vingine. Nipo tayari kwa biashara kwa haraka sana.
Nipo Dar.
Mawasiliano: 0622686575
shamba linauzwa liko katika kijiji cha Msowero, kata ya Msowero, tarafa ya Magole, wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro.
1. ukubwa wa shamba ni Ekari 47.
2. Shamba liko kando kando ya mto MSOWERO
3...
Wadau fursa hii tushikirikiane.
Kama una shamba na lipo eneo kidogo eneo zuri basi tunapima viwanja na kusimamia uuzaji wote kwa gharama zetu kwa mkataba maalum baina yetu
Wewe uwe na shamba...
Nimepata dharura nauza tv 55" samsung smart 1.2mil, radio sony soundbar 1000w 1mil na meza ya chakula viti sita laki 6 atakaechukua tv na redio nitamfanyia 2mil.. vyote bado ni vipya
Vipo mwanza...
Kwa wapenzi wote wa riwaya za gwiji, mwenyewe Ben Mtobwa, sasa tunakuletea kitabu chake cha LAZIMA UFE JORAM na NYUMA YA MAPAZIA. Pia katika mlolongo wa vitabu hivyo, utaweza kujipatia nakala...
Wadau habari zenu,
Nina hitaki sofa classic za ngozi ziwe zinauwezo wa kubinuka mfano pale unapotaka kulala unaikunjua kama siti ya gari una lala na baadae unairudishia kama ilivyokua ...kama...
Ndugu wana JF
Kwa wale wote wanaohitaji kutengenezewa system or Applications mbali mbali kwa ajili ya shughuli binafsi, Business ama projects nipo kwa shughuli hizo. Wenye mahitaji hayo wanaweza...
Mahali: Mbezi Beach Makonde,
Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000
Malipo ya Miezi: 3 au 6
Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni.
Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti...
Infinix Hot 8 Lite
Model: infinix X650
XOS version : XOS v4.1.0(O-P86-190731)
Android version 8.1.0
Android security patch level :
August 5, 2020
Device info
CPU Core Count
4
CPU Frequency...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.