Habari, kichwa cha habari kinahusika. Nahitaji kazi za typing
Location: Huduma ni online.
Yeyote mwenye documents zenye format tofauti na anahitaji iwe typed tuwasiliane kwaajili ya kazi. Naelewa...
Naombeni connection kuhusu kupata material ya kutengeza bracelets
Nipo Arusha
Huku materials yanauzwa ghali sana, mwenye mawasiliano au maelekezo wapi naweza kupata nikiwa Dar es salaam...
Kwa upande wangu namiliki vituo zaidi ya kimoja vyenye program mbalimbali za kutoa huduma za kielimu, ila bado napata changamoto nyingi katika uendeshaji , naomba na wewe ambaye uko katka sekta...
Nina aridhi yangu ukubwa wa 3/4 ya heka, iko mkoa wa pwani, kisarawe ,kijiji cha KAZIMZUMBWI ,kiwanja kipo karibu kabisa na KITUO CHA AFYA CHA KAZIMZUMBWI ni eneo zuri umeme upo , lami ipo...
Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa.
Make: Eicher
Mode: truck
Model number: MC2B6
Year of manufacture: 2017
Engine Capacity: 3298
Fuel used: Diesel
Seating capacity...
Watakufikia popote ulipo Tanzania /nje ya nchi
Bei Kg 1 Tsh 5,500/= njoo INBOX kama unahitaji mzigo upo WA kutosha wkt wowote
Get Fresh fish from lake Victory
5$ per Kg only for foreigners...
Kama kicha cha habari kivyosema, nimebuni mfumo mmoja wa kidigitali kwajili ya shule binafsi, natafuta mwalimu/walimu wa kushirikiana nao ili pige mchongo.
Note; mwalimu razima awe anafanya kazi...
Wakuu natamani kununua hii gari
Cc 2460
2DW.
Naomba mwenye uzoefu nazo anisaidie katika upande wa uimara.
Je naweza kuchukua toyota Brevis badala yake?
Karibuni
Kacharimbe
Siku moja Baba alirudi nyumbani akiwa amechelewa kutoka kazini.
Alikuwa amechoka huku akiwa amekasirika.
Alipofika nyumbani alimkuta mwanae wa miaka mitano akimsubiri mlangoni.
Mtoto alipomuona...
Wale wazee wa kulenga njoo uchukue gari hii TOYOTA AXIO
CC 1490
Namba BEE
Haijawahi kupata ajari
Haina shida yoyote ya kiufundi, mwenye mali ana shida kubwa na kimfaacho mtu chake
BEI Milion 4.5...
Habari wakuu, ninao mkaa mzuri sio mabua gunia lenye ujazo mzuri,bei Kama utaubeba mwenyewe toka maeneo ya kigogo gunia ni elfu 65/kama utahitaji nikuletee ndani ya dar gharama ni elfu...
Hatimaye Leo wakat naperuz humu jamvin nikakutana na huu utaratibu wakujiintrodyuz mim si mgen humu ingawaje ishu hii nimeijua Leo ni Muuza Viatu namaanisha km HV.
Mungu ajaalie tuvumiliane...
Je, gari yako inatetemeka engine ikiwa ya baridi?
Je, engine ya gari yako inamisi inapokuwa ya baridi?
Je, gari yako ukiwasha inazima yenyewe mpaka uwashe mara kadhaa au uwashe na kupiga resi...
Wanabodi habari...
Kichwa Cha habari chahusika
Nina milion 2 tuu natafuta kiwanja dodoma eneo la msalato au veyula. Kiwe na ukubwa was nusu heka na kuendelea. Umbali kutoka barabara ya Dom...
Moja ya mambo muhimu katika ukuwaji wa biashara ni utunzaji makini wa kumbukumbu za biashara yako, kuanzia mauzo, matumizi, taarifa za stock uliyonayo, taarifa za madeni ya wateja, na repoti...
Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation majumbani, maofisini, mashuleni, mashambani, kwene majengo, kwene masoko, mahotelini, mahospitali, kwene vyombo vya usafiri, kwene...
Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba
Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne...
Kama umeona series kama ITAEWON CLASS, MASK, K2 na HEALER basi kwa mbaaali utakuwa ushaanza kuhisi uzi huu unahusu nini.
Yes! Ni Soju kinywaji chenye alcohol level ya 16.8% mpaka 53. 8% na chupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.