Ipo mjimwema mtaa wa Kibugumo
Ina vyumba viwili master sitting room
Dining Room jiko na public toilet kiwanja kina 25×35 pia mbele kuna Boma la Frem
Mbili za biashara bei Tsh. milioni 85 maongezi...
Nahitaji mtu anaeuza flatscreen smart TV inch 32 brand Hisense. Napatikana Morocco ATS office eneo la Ada estate. Tunaandikishiana ofisini hapa kabisa.
Malipo: Nitalipa kwa two installments in a...
Habari wana jamvi,
Nina shida na tofali za kuchoma na molamu niko Dar, Kigamboni. Naomba kwa anayejua mahali napoweza kuzipata aniambie....na bei zake.
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono.
Nyama Nono ni dagaa...
Mradi mpya wa Viwanja vya Makazi Eneo la Vikawe,Km 6 kutoka Barabara kuu ya bagamoyo
●Magharibi mwa Bunju na Mabwe- Pande
●Vipo karibu na Barabara ya Mapinga-Maili Moja( inayojengwa kwa Lami sasa...
Naulizia duka linalouza vifaa vyote kwa ajili ya kutengeneza incubator Dar es Salaam. Anaye faham msaada taadhali hapa namaanisha fan, thermostart, digital thermometer na mashine ya kugeuza mayai...
Habari wanajamvi karibuni kwenye threat hii,
Noble Real Estate ni wauzaji wa mashamba na viwanja waliojitika hasa katika jiji la Dar es Salaam na Pwani. Viwanja vyetu vimepimwa na vinatambulika...
Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuuliza wapi naweza pata hizi mizani vidogo digital scale na wanauza kwa Tsh. ngapi na je zinaweza kuwa na soko maeneo gani?
Habari wakuu nauza gari yangu nina emergency haina tatizo lolote wala haijawahi kurudiwa rangi.
Bei 10.3 maelewano yapo kidogo
Mwaka 2004
Millage-99288
Cc 1790
Colour- black
Inapatikana Dar es...
Rafiki yangu mpendwa,
Kilio kikubwa cha watu kwa sasa ni pengo kati ya matajiri na masikini kuzidi kuwa kubwa.
Matajiri wanazidi kuwa matajiri huku masikini wakizidi kuwa masikini.
Ni hali...
Dear JF members,
Greetings from WLC.
We asked for an opportunity to come and provide you with education regarding the logistics hassles; mainly importation and exportation of goods or services...
Habari,
Kama wewe msomaji wa uzi huu au mtu unayemfahamu ana kipaji chochote ambacho hakijajulikana vema na kumsaidia kimaisha tafadhali tuwasiliane kwa Whatsapp namba 0676434611.
Kipaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.