Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hii ni sabuni iliyotengezwa kwa maziwa na asali. Kazi yake ni kuweka ngozi kuwa nyororo na inatakatisha ngozi kwa haraka. Inauzwa elf 8 t. Na hii ni sabuni ya aina yake yenye harufu nzury na ya...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Kiwanja kinauzwa,kipo Mabwepande (Bar Mpya), km 4 toka Bagamoyo Road Bunju, Kina Sqm 447, Kina Hati (Title Deed). Bei ni Tshs.14,000,000. Kwa maongezi piga simu namba 0677089280.
0 Reactions
6 Replies
914 Views
Twende Mlima Hanang Siku 3. Tarehe : 25th-27th,June,2021 Garama: 250,000Tsh Mwisho wa Kulipia: 20th Inajumlisha: Chakula Malazi Viingilio Usafiri kwenda na kurudi Muongoza Njia Kufanya Booking...
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Uwanja unauzwa upo Dar es salaaam chamazi machimbo kwenye bomba la Gesi.Bei mill 7 kipo sehem mzuri pia pamejengwa mi nimebaki katikati kwa anaehitaji namba ya simu 0767124704
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wenyeji na wakazi wa jiji la DSM, kwa mtu mwenye kipato cha kati ni maeneo gani kwa Dsm ambayo yametulia (siyo uswahili sana) naweza kupata kiwanja walau cha sqm 800 kwa bei kati ya 10m-15m...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Frem,mabanda na eneo lipo ndan ya uzio Linapangishwa Frem mbili Eneo ndani ya uzio Mabanda yapo ndan ya uzio Unaweza fanya biashara Unayotaka wewe Lipo bagamoyo zinga kwa mtoro Lipo jirani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habarini, Msaada kwa mtu anaeishi jijini Dodoma na anajishughulisha na uuzaji wa kuku wa kisasa wa mayai wanaotaga mwezi kwa mwezi ,kama yupo tuwasiliane tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sold
1 Reactions
4 Replies
625 Views
Nyumba ya kifahari ghorofa moja inapangishwa kigamboni mjimwema. 0756590833, 0623579290 Kitchen Shelf, Pre Paid Meter, Dining Area, Air Conditioning, Pop Ceiling, 24 Hours Electricity...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Battery health :90% Face id :ipo Water proof Camera :kali vibaya mno Inakuja full box i.e charger,earphones na silicon cover Price :850,000tsh Contacts :0734828299
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Toyota Crown classic, T 823 DUV, Year 2004, Engine 4GR, CCC 2490, Full music system , Sport ligh with high detective colour, Full documents, In mint Condition, Price 14m negotiation, Location...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
4 Reactions
35 Replies
4K Views
WANHOO 250. Liko Mbezi DSM. Lina Lock Diff option, Liko kwenye hali nzuri sana. Starter, honi, taa n.k; vyote vinafanya kazi. Linaweza kubeba mpaka 1.5Ton. Linatumika kubeba mizigo midogo ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
VITAMBULISHO VYA PVC(PVC ID CARDS) Hii ni maalum kwa Shule za Secondary College Taasisi Mtu binafsi Company N.k Tunatengeneza vitambulisho vya PVC (polyvinylChloride) ni vile vitambulisho...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu. Mwenye ndugu au babu yake kama anauza shamba kuanzia heka moja au zaidi lakini liwe barabarani au isizidi kama moja kutoka barabarani. Maeneo yanayohitajika ni kuanzia Kibaha...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Original Casio scientific calculator kwa 20k (sipunguzi) NewRixing Speaker bar 30k Mbezi Africana 0655374238
1 Reactions
2 Replies
689 Views
Habari wakuu, nipo hapa Dar Naombeni msaada. Nataka kufufua gari langu natafuta hizi spare, wapi naweza kupata mpya na genuine? Bei? 5L Engine assembly (complete set ikiwa na kila kitu)...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Vipo Dar Bei ya leoleo tu mwenye kuwahi aje chap 0755417218 UPDATE:MEZA IMESHACHKULIWA VILIVYOBAKI KILA KIMOJA 50
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom