Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari ya asubuhi wakuu, Nina mgeni wangu week mbili zijazo anakuja kutembea naweza pata wapi Gari ya kukodisha kwa safari za mikoani. Gari itapita mikoa hii, Dar, Morogoro, Dodoma, Singida...
8 Reactions
124 Replies
12K Views
habari wakuu? Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu. Bei ni nafuu na...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji Customer Software wapi naweza nikaipata. Msaada.
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Niaje wadau viwana wenzangu naomba tupeane support kwenye utafutaji wa ridhiki zetu za kila siku mimi ni kinyozi nina uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kazi yangu naishi kigamboni, Dar es salaam...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu, Naomba kujua bei za fremu Morogoro Mjini mitaa ya karibu na soko kuu. asante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kiwanja kipo Mbezi Beach Africana upande wa chini. Kina ukubwa wa sqm 800, HATI IPO Bei ni milioni 130 tu. WAHI SASAA. MAWASILIANO 0677 818283
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return. Karibuni. Documents zote zipo. Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari, Nahitaji tent la kukodisha kwa kesho siku moja tu. Tent dogo la kawaida futi saba mahali ya tukio ni makumbusho sayansi tuwasiliane kwa namba 0757 563328 tafadhali. Kwa yoyote...
2 Reactions
1 Replies
596 Views
Habari. Natafuta deep flayer inayotumia umeme kwaajili ya kuchoea chips, iwe na plate mbili. Njoo na offer yako. Mawasiliano: 0743-451-357 call/sms/WhatsApp/PM
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kipo Miganga West Dodoma Mjini kiwanja kina huduma zote za msingi kama barabara maji na umeme kimepimwa na kina documents ukubwa wa kiwanja ni sqm 450 bei ya kuuza milioni 6...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba inaunzwa eneo Kimara Bonyokwa Bei milioni hamsini na tano 55,000,000/= Mawasiliano piga sim 0713660178
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Salaam Wakuu, Natafuta fundi wa form work, ninakaproject kangu kadogo, inaweza ikawa ni kazi ya siku tatu hadi nne, Ninalipa sh.40,000 kwa Siku, kazi ipo maeneo ya Kinyerezi mwisho. Kama upo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuku "vijogoo wa nyama" wanauzwa kwa ajili ya kufugwa. Wana wiki 6. Wanapatikana Kibamba, Dar es Salaam. Wapo 300. Bei ni 6000 kwa kila mmoja. Piga 0715066185 au 0753066185 kwa maelezo na maelekezo.
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyerere National Park Itinerary Early Morning at 4am, you will be picked from your hotel in Dar es salaam and after a short safari briefing from the guide, drive to Nyerere national park for...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Viwanja vinauzwa kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya kigamboni college 1. Umbali kutoka ferry mpk site ni killometer 23 2. Viwanja vimepimwa ila vipo katika michakato ya hati kwahy...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota Noah SR 50, Auto Transmission ya mwaka 1999 inauzwa, Engine bomba haijawahi kuguswa,inatembea kama kawaida Ipo Dodoma,vibali ndio vimeisha maana ipo parking muda mrefu haitumiki Bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji...
5 Reactions
79 Replies
13K Views
Habari za muda huu. Napenda kuwakaribisha katika huduma yetu ya kuweka movies na series, huduma hii ni Mobile(Inayotembea) Kwa wakazi wa kigamboni, free derivary. Movie na Series zetu zipo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Leo nachukuwa fursa hii kuwa karibisha wadau na wapenzi wa UGALI na NYAM CHOMA (T-BONE STEAK) katika mgaha wetu pale NAMANGA,MSASANI, dakika 1 kutoka kituo cha Namanga. Ugali : 500 Nyama : 3000...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom