Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wanajamvi wajasiriamali hasa waliopo kwenye Micro Finance, watu binafsi au SACCOSS au biashara yoyote ya kukopesha fedha. Je, kati yetu kuna mtu taasisi yake au kampuni wana shida ya kupata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hizi ni baadhi ya 3D view za design ambazo nimeziandaa, 1. Ina sitting room, three bedroom, guest room, study room, kitchen, store, public w/c Inachukua nafasi ya 222.65SQM. 2. hii ina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta magari mawili ya chap aina ya Stalet, Ist, vitz, suzuki, platiz, spacial etc Bajeti yangu ni 3m kwa gari moja. Mwenye nayo njoo chamber tuyajenge.
0 Reactions
6 Replies
803 Views
Karibuni juycer hizo kukamua matunda bila maji Bei ni hiyo 120000/= 0746715216 Dar free delivery Mkoani tunatuma
1 Reactions
5 Replies
677 Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Natambua nyote ni maboss zangu, kwa maelezo mafupi yanayoendana na kichwa cha bandiko. Kutokana na taaluma yangu, Freelance Photographer...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Luxbase Automotive Upholstery [emoji778]Tunabuni, kutengeneza na kuuza seat covers za magari aina yote, jumla na rejareja. [emoji778] Tunaweka covers kwenye milango (kwa ndani), kwenye...
1 Reactions
28 Replies
9K Views
Rafiki yangu mpendwa, Miaka elfu 5 iliyopita, binadamu aliyekuwa porini akiwinda au kukusanya chakula, aliposikia kishindo alianza kukimbia mara moja. Hakusubiri aone kishindo hicho ni cha nini...
14 Reactions
20 Replies
3K Views
Iko vizuri kasoro hizo cracks ambazo bado hazina madhara yoyote touch inafanya kazi vizuri. 95000 top.
0 Reactions
1 Replies
602 Views
Habarini za sasahivi ndugu zanguni? Ni matumaini yangu mko wazima wa afya .. Kwa mala nyingine tena leo hii naatangazi iphone tajwa apo chini zote zinapatikana Kwa kijana wenu mjasili na mali...
7 Reactions
275 Replies
30K Views
Kiwanja kinauzwa Bunju A Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete document za serikali ya mtaa zipo Bado hakijapimwa Size 30*30 KUHUSU MIUNDOMBINU...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HELLO! WE ARE COMPUTER SPRINGS With Over 7+ years of Innovation, Dedication and Trust Computer Springs is a Technology Company providing highly scalable web solution and all IT solution with...
2 Reactions
4 Replies
813 Views
Habari wadau wa JamiiForums, Salamu kutoka WLC. Tuliomba nafasi kwa uongozi tuje kutoa elimu kwenu kuhusiana na uagizaji wa bidhaa au huduma ndani na nje ya nchi. Tumekuja rasmi. Mzigo wako...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Kijana mwenze ninawaombeni kwa mwenye uhitaji wa fundi Skiming na Upakaji Rangi na upakaji wa material mbali mbali ya urembo kama vile, stone, Decoo, con mixer, pamba/...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Natafuta kiwanda cha chakula cha kuku DSM, pia nawezaje kuuza damu ya ngo'mbe iliyokaushwa?
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama uzi unavosomeka ninaomba mwenye uelewa au anajua sehem wanapotoa mafunzo ya mbwa,na kuuza anisaidie, ninamhitaji sana, kama yupo ani tafute tuyajenge. Nipo Dar, Kinondoni Bunju B. Karibu...
0 Reactions
0 Replies
378 Views
Wakuu.. Natafuta pikipiki iliyo ktk hali nzuri kabisa. -Iwe haijatumika zaidi ya mwaka na iwe namba C -Iwe TVS, BOXER ama nyingine yenye muundo huo... -Bei isizidi 1M - Location iwe Dar -Uwe...
1 Reactions
9 Replies
940 Views
Wakuu, Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoonesha. Ntasafiri kutoka Dar kwenda Mbeya siku ya ijumaa tarehe 7 Dec Ila hata akipatikana wa Njombe au Makambako bado si mbaya. Kama yupo naomba...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari Wakuu. Naandika kwa niaba ya rafiki yangu ambaye anatafuta usafiri "Private" kutoka kwa mdau yeyote anayetarajia kusafiri kutoka Dar kwenda Bukoba siku za hivi karibuni. Rafiki yangu...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu habari. Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/= Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom