Natafuta kampuni au mwekezaji yoyote wa kujenga kituo cha mafuta katika eneo langu .
eneo lipo katika barabara kuu Arusha-Dodoma(maelezo zaidi picha na sehemu husika Dm nitakupa)
Nahitaji kuanzisha biashara ya rasta tu nataka nianze na mtaji wa bero moja la sh 90000/= nilivyofanya uchunguzi lina rasta 100. Nahitaji kuuza kwa sh 1200.
Naomba msaada wa wakala pia naomba...
Azolla bado imeonesha kushika kasi hasa katika ufugaji wa kuku, samaki, ng'ombe mbuzi sungura na nguruwe kwan inapunguza kiasi kikubwa cha gharama ya chakula pia inaongeza ukuaji na afya ya...
Google Pixel 4 panda white in perfect condition. No major scratches or dents. Phone cover included.
4GB RAM.
64GB Internal.
90hz high refresh rate screen.
CPU: Qualcomm Snapdragon 855...
Nauza Samsung galaxy A50 bei Tshs. 450,000 picha sina maana ndio simu nnayoitumia hapa. Ukihitaji mawasiliano: 0689 150 968 watsapp 0625 576 082 ipo na charger yake original
Hello Wadau
Mimi kama kijana Mjasiliamali nimeweza kutembea kwenye Mapango kadhaa na nimefanikiwa kukusanya mbolea ya Mavi ya Popo wa Porini na kiasi kidogo ya Wale wa nyumbani na kuitumia hii...
Nina shamba ekari 50 lina miti ya Asili mingi ikiwemo mninga na mkulungu, yeyote aliyetayari aje inbox tuzungumze tushirikiane. Serikali imeanza kutoa vibali vya uvunaji.
Karibun sana
Habari wana jamvi, mimi ni fundi wa skimingi na upakaji wa rangi nzuri, nina uzoefu wa miaka 4,
Kwa mwenye kuhitaji nimfanyie kazi, mwenye kuhitaji ushauri juu ya rangi nzuri pia ata kama ni...
Tunauza samaki bei poa kabisa kulingana na uzito unaonunua. Kwa mfano ukinunua; 0-2kg = tsh10,000/-, 3-5kg = tsh9,600/-, 6-9kg =tsh9,400/-, 10-14kg = tsh9,200/-, n.k. kama ilivyoambataanishwa...
Habari!
Nyumba kubwa (haijaisha) yenye sifa zifuatazo ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa Hekari 1 na nusu inauzwa:
1. Sebule kubwa (6M × 8M)
2. Dining room kubwa (4M x 4M)
3. Jiko kubwa (3M...
ZIPO
1: BAHI : BILIONI 4
2: DODOMA MJINI : BILIONI 3.5
VIWANJA PIA VINAPATIKANA DODOMA.
PIGA NAMBA 0762967368(WHATSAPP) AU FIKA OFISI YA DULAIKI GROUP ILIYOPO MAKULU DODOMA.
KARIBUNI...
Habari za wakati huu;
Najua wengi mnajua hili.Najua wengi mmewahi kuambiwa hili najua wengi mnatamani muambiwe hili
Katika maisha huwa hakuna kitu kinaitwa kuchelewa au kuwahi.Kila jambo lina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.